Category: Elimu
Njia 7 rahisi za kukuza akaunti yako ya Twitter kutoka ‘follower’ 0-1000 ndani ya mwezi mmoja
Sote tu mashahidi kuwa Twitter ni moja kati ya mtandao wa kijamii ambao ni ngumu sana kupata wafuasi ukilinganisha na mitandao mingine. Mkufunzi na mt [...]
Zijue njia 7 za kuzuia kunyonyoka nywele kwa wanaume
Tatizo la kunyonyoka nywele ni tatizo linalowakumba wanaume wengi duniani. Takwimu zinaonesha kwamba tatizo hili huathiri theluthi moja ya watu dunian [...]
Fahamu sifa za ndege ya Airbus A220-300
Kwa mujibu wa tovuti ya Airbus, Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Afrika na ya tano duniani kumiliki ndege ya aina ya Airbus A220-300. Ukiachilia nd [...]
Elimu ya biashara: Umuhimu wa matumizi sahihi ya muda katika kukuza biashara
Matumizi sahihi ya muda ni mojawapo ya stadi muhimu zaidi unayopaswa kuwa nayo katika ukuzaji wa biashara. Changamoto ni kwamba mara nyingi hili ni ja [...]
Ijue Tuzo ya Nobel na namna ya kushiriki
Tuzo ya Nobel ni tuzo ya heshima na ya hadhi ya juu inayotunukiwa kwa watu ambao wametoa mchango mkubwa sana katika katika kufanya uvumbuzi au kuanzis [...]
Mambo 6 muhimu unayopaswa kufahamu wakati unaanza chuo
Kutokana na furaha ya kufaulu na kwenda kusoma sehemu ambayo inakupa uhuru zaidi kwenye usomaji wako wanafunzi wengi wanakuwa na mitazamo tofauti [...]
Miaka 90 ya Desmundu Tutu na kumbukizi ya Sera ya Kibaguzi Afrika Kusini
Askofu Desmond Mpilo Tutu alizaliwa Oktoba, 7 1931 katika mji wa Klerksdorp Afrika Kusini. Wazazi wake walitoka makabila ya Xhosa na Tswana na akiwa m [...]
Kikongwe wa miaka 100 mahakamani kwa makosa wakati wa vita ya pili ya Dunia
Kikongwe mwenye umri wa miaka 100 ambaye alilitumikia Jeshi la Ujerumani (SS guard) wakati wa vita ya pili ya Dunia, kesi yake itaanza kusikilizwa leo [...]
Ishara 7 kuwa Mama mkwe wako hakupendi
Wanawake wengi wanapitia chanagamoto za ugomvi kwenye ndoa zikihusuishwa na mama wakwe utajuaje kama mama mkwe wako hakupendi hizi hapa ni ishara aza [...]
Historia: Mtanzania ashinda Tuzo ya Nobel
Tuzo za Nobel katika Fasihi (Nobel Prize in Literature) imetolewa leo na kushuhudia Mtanzania Abdulrazak Gurnah, akishinda tuzo hiyo.
Abdulrazak Gu [...]