Category: Kimataifa

1 2 3 4 56 20 / 555 POSTS
Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

Benki ya Maendeleo ya Afrika yamsifu Rais Samia kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia

BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika. Pia, AfDB imesifu juhud [...]
Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Liberia kushiriki Mkutano wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Liberia, Mhe. Joseph Boakai ni miongoni mwa marais wa Afrika 19 ambao wameshawasili jijini Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Wakuu [...]
Afrika imepiga hatua baada ya uhuru

Afrika imepiga hatua baada ya uhuru

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema baada ya kupata uhuru mwaka 1960, Nchi za Afrika zimepiga hatua kubwa katika kuzalisha [...]
Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Gambia, Mhe. Muhammad Jallow amewasili jijini Dar es Salaam ambapo anamwakilisha Mheshimiwa Rais Adama Barrow katika Mkut [...]
Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa Thulisile Dladla, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Niger, Mheshimiwa Ali Mahaman Lamine Zeine, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Bandari kubwa zaidi nchini Msumbiji imeripotiwa kushuka kibiashara kwa mwaka 2024 kutokana na vurugu za uchaguzi. Vurugu hizo za uchaguzi ikiwemo m [...]
Rais Samia aeleza Tanzania ilivyofanyia kazi mapendekezo ya WHO

Rais Samia aeleza Tanzania ilivyofanyia kazi mapendekezo ya WHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Dkt. Tedros Abhanom, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la A [...]
Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

IDADI ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano [...]
Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Mtandao wa U.S. News & World Report unaojihusisha na maswala ya safari na utalii umetaja maeneo 20 muhimu kwa watalii kutembelea Afrika 2025 ambap [...]
1 2 3 4 56 20 / 555 POSTS
error: Content is protected !!