Category: Kimataifa
Baba Mtakatifu Francisko afariki dunia akiwa na miaka 88
Vatican – Katika siku ya Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025, Baba Mtakatifu Francisko amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Alifariki akiwa kati [...]
Tanzania kuiwekea vikwazo Afrika Kusini na Malawi kuhusu biashara ya bidhaa za kilimo
Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe, ametangaza kuwa Tanzania itazuia uingizwaji wa mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kus [...]
Panya wa Tanzania Ronin avunja rekodi ya Panya Magawa
Panya mkubwa wa kiafrika (Cricetomys ansorgei) mwenye jina la Ronin amepata sifa ya kugundua mabomu 109 ya ardhini na vipande 15 vya ziada vya risasi [...]
ATCL kuanza safari za moja kwa moja Kinshasa
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetangaza kuanza safari za moja kwa moja kati ya Dar es Salaam na Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo (DRC) hatua i [...]
Tanzania yashiriki Mkutano wa Mpango wa Mattei wa Afrika, Italia: Reli kuziunganisha Bahari za Atlantiki na Hindi
Mpango wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Italia na Afrika ( Matttei Plan for Africa) unatarajiwa kuboresha miundombinu ya maendeleo Afrika kwa kuunganish [...]
Rais Samia: Hongera Mama Swapo
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza Netumbo Nandi-Ndaitwah kwa kushinda urais na kuwa rais wa tano na rais wa kwanza mwanamke wa Namibi [...]

Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe kuchochea uchumi wa wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kukamilika kwa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe kunatarajiwa kuwa na mchango katika kupunguza umaskini kwa jamii [...]
Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC
Dar es Salaam, 8 Februari 2025 – Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekubaliana juu ya h [...]
Ramaphosa awasili Tanzania
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde (Mb.) amempokea Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Cyril Ramaphosa ambaye amewasili nchini Tanzania kushiri [...]
Tanzania yaendelea kusaidia juhudi za amani DRC
Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Tanzania itaendelea kusaidia juhudi za kidiplomasia katika kumaliza mgogoro masha [...]