Category: Kimataifa
Maonesho ya utalii wa Tanzania Ujerumani yafana
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe. Hassan Mwamweta ameyataka makampuni makubwa ya Utalii nchini Ujerumani kuifanya Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Rais Samia kuanza ziara Cuba
Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Cuba yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili.
Ziar [...]
Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imeweka mikakati ya kuimarisha kilimo ili iwe mzalishaji mkubwa wa chakula Afrika Mashariki na Kusini mwa Af [...]

Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo tarehe 29 Oktoba 2024, anatarajia kuondoka nchini kuelekea Des Moines, nchini Mar [...]
Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais
RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani na [...]
Adani Foundation yaanzisha mpango wa kielimu wa kwanza Afrika nchini Tanzania
Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL), kupitia Adani Foundation, imetangaza kusaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na IIT-Madras Za [...]
Rais Samia: Nileteeni taarifa kuhusu Kibao
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amegiza Vyombo vya Uchunguzi kumpatia taarifa ya kina haraka kuhusu tukio baya la mauaji ya Kiongozi wa CHAD [...]
Rais Samia: Tushirikiane kwenye uvumbuzi wenye manufaa
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi wakuu wa nchi na serikali mbalimbali kujikita zaidi kwenye uvumbuzi wenye manufaa ya kijamii na kiuchumi ili maende [...]
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU
Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) umekuwa na mvutono mkubwa kitaifa na kimataifa.
Ili kuelewa hali ya sasa, ni [...]