Category: Kimataifa

1 2 3 4 5 56 30 / 555 POSTS
Rais Samia apanda viwango Forbes

Rais Samia apanda viwango Forbes

Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani akishika nafasi ya 91 [...]
Ushindi wa Rais Mpya Mwanamke wa Namibia: Ishara Mpya ya Kuinuka kwa Viongozi Wanawake Afrika

Ushindi wa Rais Mpya Mwanamke wa Namibia: Ishara Mpya ya Kuinuka kwa Viongozi Wanawake Afrika

Tarehe 4 Desemba 2024, historia mpya imeandikwa nchini Namibia baada ya Netumbo Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, kushinda nafasi ya urais na k [...]
SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia

Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa wananchi wa Namibia kukumbatia amani na umoja kabla [...]
Rais Samia aziomba nchi tajiri kuisaidia Afrika kukabili njaa

Rais Samia aziomba nchi tajiri kuisaidia Afrika kukabili njaa

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa mataifa tajiri kuongeza ufadhili wa masharti nafuu kwa Afrika ili kusaidia kumaliza tatizo la n [...]
Tanzania kushiriki Mkutano wa Viongozi wa G20 kwa mara ya kwanza

Tanzania kushiriki Mkutano wa Viongozi wa G20 kwa mara ya kwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, atashiriki katika Mkutano wa Viongozi wa G20 utakaofanyika kwa mara ya kwanza [...]
Maonesho ya utalii wa Tanzania Ujerumani yafana

Maonesho ya utalii wa Tanzania Ujerumani yafana

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe. Hassan Mwamweta ameyataka makampuni makubwa ya Utalii nchini Ujerumani kuifanya Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Rais Samia kuanza ziara Cuba

Rais Samia kuanza ziara Cuba

Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Cuba yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili. Ziar [...]
Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania

Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imeweka mikakati ya kuimarisha kilimo ili iwe mzalishaji mkubwa wa chakula Afrika Mashariki na Kusini mwa Af [...]
Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo tarehe 29 Oktoba 2024, anatarajia kuondoka nchini kuelekea Des Moines, nchini Mar [...]
Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani na [...]
1 2 3 4 5 56 30 / 555 POSTS
error: Content is protected !!