Category: Kimataifa

Marekani yafutilia mbali mradi wa KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi
Marekani imefutilia mbali mradi wa thamani ya KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi, uliokubaliwa wakati wa utawala wa Rais Joe Biden na rasmi kuid [...]
Tovuti za wizara nchini Kenya zadukuliwa
Tovuti kadhaa za wizara muhimu nchini Kenya zimevamiwa na shambulio la kimtandao leo asubuhi, hali iliyosababisha kukosekana kwa huduma kwa muda.
K [...]
Ruto amlilia Raila, atangaza siku 7 za maombolezo
Rais William Ruto amewaongoza Wakenya katika kuomboleza kifo cha kiongozi wa ODM Raila Odinga.
Waziri mkuu huyo wa zamani alifariki katika kituo ch [...]
Tanzania na China zaendelea kuimarisha ushirikiano wa uwili
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel W. Shelukindo amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China [...]
Samia aipatia Kongwa maendeleo
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wananchi wa Kibaigwa, Wilaya ya Kongwa, amekumbusha utekeleza [...]
Makampuni 16 ya Kitanzania yaidhinishwa kusafirisha parachichi China
Makampuni 16 ya Kitanzania yameidhinishwa rasmi na Mamlaka ya Forodha ya China — General Administration of Customs of China (GACC) — kusafirisha parac [...]
Tanzania na Rwanda zaimarisha ushirikiano kwa kusaini hati mbili za makubaliano
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kig [...]
CCM yaandika historia Afrika kwa kufanya Mkutano Mkuu kidijitali
Leo tarehe 26 Julai 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya barani Afrika kwa kufanikisha Mkutano Mkuu wa Taifa kwa njia ya mtandao, [...]
Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia Mkutano wa AU – Malabo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika kikao cha 47 cha Baraza la Mawazir [...]

