Category: Kimataifa

1 4 5 6 7 8 55 60 / 550 POSTS
Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wamekubaliana kutoa nafasi za ufadhili wa masomo kwa wanafu [...]
Rais wa Romania kuja nchini kwa ziara ya kitaifa

Rais wa Romania kuja nchini kwa ziara ya kitaifa

RAIS wa Romania, Klaus Iohannis, kesho November 16 hadi 19, 2023 anatarajia kufanya ziara ya Kitaifa nchini hapa kufuatia mwaliko alioupata kutoka kwa [...]
Rais Samia anavyo-trend India

Rais Samia anavyo-trend India

Kwenye mtandao maarufu wa Google nchini India, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekuwa mtu wa pili kwa habari zake kutafutwa sana kuliko mambo [...]
Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025

Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025

Tanzania inalenga kuongeza uwekezaji kutoka India ambaye ni mshiriki wake mkubwa katika biashara. Inatarajia uwekezaji kutoka India kupanda hadi do [...]
Rais Samia kutunukiwa shahada ya heshima kwa kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India

Rais Samia kutunukiwa shahada ya heshima kwa kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India

Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru leo kinamtuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, shahada ya heshima. Rais yupo kwenye ziara ya siku nne nchini Ind [...]
Rais wa India afurahishwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu

Rais wa India afurahishwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu

Rais wa India, Smt Droupadi Murmu, alimpokea Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Rashtrapati Bhavan leo (Ok [...]
Rais Samia : ziara hii itakuza zaidi uhusiano wetu na India

Rais Samia : ziara hii itakuza zaidi uhusiano wetu na India

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alianza ziara ya siku nne nchini India Jumapili, Oktoba 8, yenye lengo la kukuza uhusian [...]
Rais Samia awasili India kwa ziara ya kiserikali

Rais Samia awasili India kwa ziara ya kiserikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili New Delhi kwa ziara ya Kiserikali ya siku nne nchini India leo tareh [...]
Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anajiandaa kwa ziara ya kihistoria ya kiserikali nchini India kuanzia Oktoba 8 hadi 11, [...]
Rais Samia ateuliwa kuwa mjumbe wa GCA

Rais Samia ateuliwa kuwa mjumbe wa GCA

Rais Samia Suluhu ameteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the G [...]
1 4 5 6 7 8 55 60 / 550 POSTS
error: Content is protected !!