Category: Kimataifa

1 5 6 7 8 9 52 70 / 512 POSTS
Korea yaipa Tanzania mkopo nafuu Sh bil. 310

Korea yaipa Tanzania mkopo nafuu Sh bil. 310

Serikali ya Jamhuri ya Korea imetoa mkopo wa gharama nafuu wa sh bilioni 310 kwa Tanzania kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi wa Mamlaka ya Vita [...]
Kuna nini WhatsApp ?

Kuna nini WhatsApp ?

Mtandao wa WhatsApp umeonekana kukabiliwa na hitilafu baada ya baadhi ya watumiaji kuripoti matatizo ya kushindwa kutuma na kupokea jumbe mbalimbali k [...]
China haifungui kituo cha polisi Tanzania

China haifungui kituo cha polisi Tanzania

Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa  nchi ya China ina mpango wa [...]
OKTOBA 13 : No Bra Day

OKTOBA 13 : No Bra Day

OKTOBA 13 kila mwaka ni siku maalum ya kupaza sauti na kufanya watu watambuE kwamba saratani ya matiti ipo na hivyo ni muhimu wanawake wakajijengea ut [...]
Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Huenda uchumi wa Tanzania na Kenya ukakua zaidi kwa siku za usoni mara baada ya viongozi wakuu wa mataifa hayo kuwaagiza mawaziri wa biashara na uweke [...]
Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza mambo aliyozungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Ruto ambaye y [...]
Rais Ruto kuwasili Tanzania leo

Rais Ruto kuwasili Tanzania leo

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Samoei Ruto anatarajiwa kuwasili nchini leo jioni kwa ziara ya kikazi ya siku mbili (tarehe 09-10,Oktoba 2 [...]
Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Rais wa Marekani, Joe Biden amewasamehe watu wote waliokutwa na hatia ya kumiliki bangi. Biden alitoa wito kwa majimbo ya Marekani kutekeleza hatua [...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Mhe. Dkt. Stergomena L [...]
1 5 6 7 8 9 52 70 / 512 POSTS
error: Content is protected !!