Category: Kimataifa
TPDC, CNOOC ya China kushirikiana katika sekta ya gesi
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la Maendeleo la Petroli la Tanzania(T [...]
Rais Samia ashiriki kuapishwa kwa Rais Tinubu
Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Nigeria, Bola Tinubu, aliyeapishwa jana M [...]
Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani
Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle [...]
Rais Kagame na ziara ya kikazi Tanzania
Mheshimiwa Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda atafanya Ziara ya Kikazi nchini kuanzia tarehe 27 hadi 28 April, 2023.
Mheshimiwa Rais Paul Kagam [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Fahamu miji 8 mizuri barani Afrika
Vyombo vingi vya habari hasa nje ya Afrika, hulizungumzia bara la Afrika kama masikini lenye mazingira ambayo siyo rafiki na kuonyesha picha zenye kue [...]
Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China
China ni kati ya mataifa makubwa duniani yanayokopesha nchi nyingi za Afrika kiwango kikubwa cha fedha zinazowasaidia kutekeleza miradi na pia kuendes [...]
Tinubu ashinda urais Nigeria
Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria (INEC) imemtangaza mgombea wa chama tawala APC, Bola Tinubu kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi.
[...]
Fahamu kuhusu kimbunga ‘Freddy’
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa ufafanuzi kuhusu uwepo wa kimbunga ‘Freddy’ kilichopo kusini magharibi mwa bahari ya Hindi karibu na p [...]
Benki ya Dunia yaipongeza Tanzania kuwa kinara kwenye uchumi
Huenda unafuu wa maisha pamoja na upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii ukaimarika nchini mara baada ya Benki ya Dunia kuripoti kuwa uchumi wa T [...]