Category: Kitaifa

1 2 3 207 10 / 2070 POSTS
Serikali kuchambua mapendekezo 284 ya maboresho ya kodi kabla ya utekelezaji

Serikali kuchambua mapendekezo 284 ya maboresho ya kodi kabla ya utekelezaji

Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafanya uchambuzi wa kina wa mapendekezo 284 ya maboresho ya mifumo ya kodi kabla ya kuan [...]
SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutum [...]
Tanzania na Uganda zaainisha maeneo ya ushirikiano wa kimkakati

Tanzania na Uganda zaainisha maeneo ya ushirikiano wa kimkakati

Tanzania na Uganda zimekutana kupitia maeneo ya ushirikiano wa maendeleo ya pamoja ya kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizo mbili rafiki, katika Mkuta [...]
Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makaz [...]
Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
WHO yasifu Tanzania kwa kupunguza vifo vya watoto

WHO yasifu Tanzania kwa kupunguza vifo vya watoto

Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Kanda ya Afrika, Dkt. Mohamed Janabi amesema Tanzania imepiga hatua katika kupunguza vifo vya watoto chini [...]
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC

Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. [...]
DRC yashangazwa na ubora wa matibabu Muhimbili

DRC yashangazwa na ubora wa matibabu Muhimbili

Gavana wa Jimbo la Maniema, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Moise Kabwankubi ameongoza ujumbe kutoka nchi hiyo kuzuru Hospitali ya Taifa [...]
Tanzania yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa visiwa 120

Tanzania yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa visiwa 120

Serikali ya Tanzania Jumamosi imezindua mradi wa kusambaza umeme wa jua unaolenga visiwa 120 vilivyopo katika mikoa minane inayopakana na maziwa makuu [...]
1 2 3 207 10 / 2070 POSTS
error: Content is protected !!