Category: Kitaifa
Kiwanda cha kuunganisha pikipiki na bajaji kujengwa Chamwino
Kiwanda kipya cha kwanza cha kuunganisha pikipiki na bajaji kitajengwa katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Kiwanda hicho kitajengwa mkoani hom [...]
Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba mpya ya vikao vya uteuzi wa watia nia wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani ili kufanikisha mchakato wa [...]
Waziri Aweso aitaka kasi na ubora kwa wakandarasi wa Mradi wa Maji Njombe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amewakemea wakandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa Wanging'ombe na Makambako, mkoani Njombe, kutokana [...]
Sh bilioni 298 kugharamia kifua kikuu, UKIMWI na Malaria
Jumla ya Sh bilioni 298 zimetumika na serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 na 2025/26 kuongeza nguvu manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha z [...]
Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%
Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mkoa wa Geita umepata mafanikio makubwa yaki [...]
Rais Samia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni jumuishi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ili nchi ifikie malengo iliyojiwekea katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, taasisi za umma, sekta bin [...]
Mradi wa EACOP wafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Tanga
Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R [...]
Dk. Burian: Tanga ina lita milioni 210 za mafuta
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dk. Batilda Burian amesema mkoa huo unahifadhi ya lita za ujazo milioni 210 za mafuta ya petroli na dizeli, ikiwa ni mat [...]
Shule ya Sekondari ya Wasichana yaleta neema Geita
Kupitia Mradi wa serikali wa kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) Wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya m [...]
Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma
Serikali kupitia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa Sh bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za [...]