Category: Kitaifa
Sh bil 69/- kutekeleza chanjo, utambuzi mifugo
SERIKALI imetoa Sh bilioni 69 kwa awamu ya kwanza katika kuhakikisha Wizara ya Mifugo inaendesha kampeni ya kutoa chanjo na kutambua mifugo yote iliyo [...]
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ampongeza Rais Samia: “Tanzania inastahili kuwekezwa”
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, ameisifu Tanzania kwa ukuaji wake wa kiuchumi na uimara wake, akihusisha mafanikio [...]
Waziri Kombo aisisitiza Kampuni ya Hunan ER-Kang kuongeza uzalishaji wa dawa nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameisisitiza kampuni ya Hunan ER-Kang ya nchini Chin [...]
Serikali na Sekta Binafsi kuendesha mradi wa mabasi ya mwendokasi
Serikali imesema imesaini mikataba minne yenye thamani ya Sh bilioni 681.53 kwa ajili ya kuboresha huduma ya usafiri katika mradi wa mabasi yaendayo h [...]
Wastaafu kima cha chini kulipwa 250,125.9/- kwa mwezi
KATIKA mwaka 2025/26, Serikali itaongeza kima cha chini cha pensheni ya kila mwezi kwa wastaafu wanaolipwa na hazina kutoka shs 100,125.9 hadi shs 250 [...]
Tanzania kuzisaidia nchi tisa masuala ya utabiri hali ya hewa
Kutokana na Mamlaka ya Hewa Tanzania (TMA) kuendelea kuhimili viwango vya utoaji huduma kimataifa, Tanzania kupitia TMA imepewa jukumu la kusaidia nch [...]
MSD yapokea bilioni 100 kwa ajili ya kuongeza uzalishaji
Bohari ya Dawa (MSD), imepokea zaidi ya shilingi bilioni 100 ikiwa ni mtaji wa kuimarisha uwezo wake wa kifedha kwa kuongeza uzalishaji wa dawa na upa [...]
Bodi ya Mikopo kufungua dirisha la mikopo elimu ya juu Juni 15
SERIKALI imetangaza kuwa miongozo ya mikopo ya elimu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 itapatikana katika lugha za Kiingereza na Kiswahili kwenye tovuti z [...]
Serikali imevuka lengo la ukuaji Pato la Taifa
Wizara ya Fedha imesema imevuka lengo la ukuaji hali wa Pato la Taifa.
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema mwaka jana pato hilo lilikua kwa [...]
Serikali: Huduma za afya zimeimarika
Serikali imesema katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025, jumla ya wananchi 39,386,226 ya walihudhuria na kupata huduma katika vituo vya kutolea [...]