Category: Kitaifa
Mikopo 193 yafungua milango ya ajira 820 kwa vijana
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) imetoa mikopo 193 yenye thamani ya zaidi ya Shili [...]
Bima ya Afya kwa Wote shilingi 150,000 kwa kaya na wasio na uwezo kugharamiwa na Serikali
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito [...]
Teknolojia ya kisasa ya mionzi yatumika kuondoa mawe kwa wagonjwa Muhimbili
Wagonjwa wa mawe kwenye figo nchini hususani waliopo maeneo ya karibu na mkoa wa Dar es Salaam wamehimizwa kujitokeza katika kliniki ya siku tatu ya u [...]
MV Anthia kutoka China yatia nanga Bandari ya Mtwara
Bandari ya Mtwara imeendelea kuhudumia meli za aina mbalimbali ambapo tarehe 18.01.2026 imepokea meli ya mizigo ya MV ANTHIA iliyobeba shehena ya maga [...]
Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10
Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi nchini Zam [...]
Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera tarehe 16 Januari 2026, ikifuatiwa [...]
Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndan [...]
Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmshauri ya Manispaa ya [...]
Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi
Ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ukiongozwa na Waziri wa Nchi, anayeshughulikia masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Msh [...]
Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi
Mabasi mapya na ya kisasa 49 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) yamewasili nchini yakiwa ya hadhi ya kimataifa.
Mabasi hayo ya Golden Dragon [...]

