Category: Kitaifa

1 2 3 199 10 / 1981 POSTS
Dkt. Samia aahidi ujenzi wa Uwanja Mkubwa wa Ndege Misenyi

Dkt. Samia aahidi ujenzi wa Uwanja Mkubwa wa Ndege Misenyi

Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali yake itaanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege eneo la Kyabajwa, wilayani Mise [...]
Wenje: CHADEMA ilikimbia uchaguzi kwa kuogopa ushindani

Wenje: CHADEMA ilikimbia uchaguzi kwa kuogopa ushindani

Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana na kiongozi wa CHADEMA, sasa Kada wa CCM, Ezekiel Wenje, amesema ni hatari kwa taifa kuwa na kiongozi wa chama cha siasa [...]
ACT – Wazalendo yaahidi zahati moja kwa watu 1,000 ikipata ridhaa ya kuongoza nchi

ACT – Wazalendo yaahidi zahati moja kwa watu 1,000 ikipata ridhaa ya kuongoza nchi

Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimesema kama kitapata ridhaa ya kuongoza nchi kitagharamia bajeti ya sekta ya afya kwa [...]
Vipaumbele 13 vya CUF kwa wananchi

Vipaumbele 13 vya CUF kwa wananchi

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Nyambi Athuman amesema endapo wananchi watamchangua kuwa mbunge wao [...]
Wagombea ubunge CUF na CHAUMMA Lindi wahamia CCM

Wagombea ubunge CUF na CHAUMMA Lindi wahamia CCM

Wagombea wawili wa Ubunge katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kutoka vyama vya upinzani, wametangaza kuhama vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapin [...]
Uzalishaji wa umeme kuongezeka mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ujio wa mashine nyingine

Uzalishaji wa umeme kuongezeka mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ujio wa mashine nyingine

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechukua hatua za dharura kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme katika mikoa ya Mtwara na Lindi, kufuat [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma

Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]
Mahakama yaamuru Mpina kurudi kuwania nafasi ya urais

Mahakama yaamuru Mpina kurudi kuwania nafasi ya urais

Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, imeamuru mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, aruhusiwe kuendelea na mchakato wa kurejesha fomu ya kugombea Ur [...]
Zaidi ya dola bilioni 2 zinahitajika kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika

Zaidi ya dola bilioni 2 zinahitajika kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika

Pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Tabianchi jijini Addis Ababa, Ethiopia, viongozi na wadau mbalimba [...]
Afrika kupatiwa fedha za Mabadiliko ya Tabianchi ni ishara ya usawa katika majukumu ya Kimataifa na si msaada wa huruma

Afrika kupatiwa fedha za Mabadiliko ya Tabianchi ni ishara ya usawa katika majukumu ya Kimataifa na si msaada wa huruma

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amesisitiza kuwa si sawa kwa Afrika kushurutisha nchi zilizoendelea [...]
1 2 3 199 10 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!