Category: Kitaifa
Hospitali ya Rufaa Manyara yaanza kutoa huduma za kusafisha figo
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara imepiga hatua katika kuboresha huduma za afya za kibingwa kwa wananchi baada ya kuzindua rasmi huduma ya usafish [...]
Kituo kikubwa cha upandikizaji figo kujengwa Tanzania
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo pamoja, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi [...]
Mradi wa umeme wa Kilovoti 132 Tabora wabakiza asilimia 5 kukamilika
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limesema ujenzi wa miundombinu ya umeme wa msongo wa Kilovoti 132 kutoka Tabora hadi Katavi unaofanywa na kampuni ta [...]
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya aunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu
Waziri wa Mambo ya Nje Musalia Mudavadi amekiri kuwa ukosoaji wa hivi majuzi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu tabia ya Wakenya huenda un [...]
Polisi yawasaka waliosambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia X (Zamani Twitter)
Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanza msako maalum dhidi ya watu wanaodaiwa kusambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia jukwaa la kijamii la [...]
Wabunge wampongeza Rais Samia kwa ubunifu na mageuzi katika Sekta ya Utalii
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu ali [...]

Rais Samia atahadharisha wanaharakati wa kigeni kuacha kuingilia masuala ya nchi
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wanaharakati wa kigeni wanaodaiwa kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania, akisema kuwa ikiwa wamewekewa vikwa [...]
Idadi ya watalii yaoongezeka na kupita lengo la Ilani ya CCM ya Mwaka 2020
Idadi ya watalii wanaozuru Tanzania imeongezeka kwa kiasi kikubwa na tayari imepita lengo la Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020. Mafanik [...]
Mwenge watembelea miradi ya elimu na nishati Tunduru
Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, umetembelea mradi wa nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Tunduru, unaogharimu zai [...]
Laini za simu 47,728 zafungiwa kwa uhalifu, ulaghai mtandaoni
Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imebaini kuzifungia laini za simu 47,728 na Nambari za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) 39,028 zi [...]