Category: Kitaifa
Tanzania yahamasisha uzalishaji wa tufaha ndani ya nchi kupunguza uagizaji kutoka nje
Tanzania inahamasisha kilimo cha tufaha ndani ya nchi ili kupunguza utegemezi wa matunda yanayoagizwa kutoka nje, kwa kuzingatia fursa zilizopo katika [...]
Dkt. Samia atoa wito wa kuwa na mfumo wazi na uliodhibitiwa vyema kusimamia Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito wa kuimarishwa kwa kanuni na mifumo ya kisheria ili kuwalinda wafanyakazi wahamiaji wa Tanzania wanaofanya kazi n [...]
Madini yachangia 11.9% kwenye Pato la Taifa
Serikali imesema mchango wa sekta ya madini kwenye Pato la Taifa umeongezeka kutoka 10.1% kwa mwaka 2024 hadi 11.9% kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka [...]
Rais Samia awaonya vijana, ataka mshikamano wa Taifa urejeshwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kurejea katika m [...]
Rais Samia: Meli ya uvuvi itatoa fursa za ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua meli ya kwanza ya uvuvi wa Bahari Kuu ambayo itaiwezesha nchi kuvua samaki waliopo kwenye Ukanda wa Maalum wa Uchum [...]
Mapendekezo ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025
1. Majeruhi wapatiwe matibabu na vifaa saidizi bure.
2. Itengwe siku ya maombolezo ya kitaifa ya kuwakumbuka waliofariki.
3. Kutolewe msaada wa [...]
Rais Samia:Chombo cha upelelezi kuundwa kufuatia ripoti ya tume
Rais Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuundwa kwa chombo maalumu cha upelelezi kitakachoshughulikia masuala yaliyoainishwa katika ripoti ya Tume ya Uchun [...]
Jaji Chande: Hakuna ushahidi wa uwepo wa makaburi ya halaiki
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uhalifu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mohamed Chande Othman, ame [...]
Serikali kugharamia matibabu ya waliojeruhiwa Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaweka utaratibu wa kugharamikia matibabu ya majeruhi wa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mk [...]
Mizigo Bandari ya Dar imeongezeka
Kampuni ya DP World imeripoti ongezeko kubwa la mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, likionesha mabadiliko ya msingi katika biashara ya kikanda.
[...]

