Category: Kitaifa

Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania
MIKAKATI YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI
1. Itaanzisha Kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana (Youth Investors Resource Centre).
2 [...]
Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kulikuwa na jaribio la kuipindua nchi na kuondoa dola iliyopo madarakani katika maandamano yaliyofanyika siku ya Ucha [...]
Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani
Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi mae [...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza
Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran.
Akiongea mara baada ya k [...]
Rais Samia: Polisi acheni kumtafuta Askofu Gwajima
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama w [...]
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta wafikia asilimia 33.57
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta unaojengwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefikia asi [...]
Tanzania sasa ina umeme wa kutosha
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha na hivyo ukamilifu wa Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerer [...]
210 wafutiwa mashitaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza
Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kos [...]
Dkt. Samia aagiza fedha za sherehe ya kuadhimisha 9 Desemba zikarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha za sherehe zilizopangwa kuadhimisha Desemba 9, 2025 zitumike kukarabat [...]
Serikali yaagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia [...]

