Category: Kitaifa
Rais Samia aweka ramani ya njia ya Katiba Mpya ya Tanzania
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza dhamira ya serikali yake ya kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kuimarisha umoja wa kitaifa kufuati [...]
Serikali yazidi kusogeza karibu huduma za afya
Bariadi , Serikali imeendelea kusogeza karibu huduma za afya kwa wananchi, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Zahanati ya Bipyayi kuzinduliwa rasmi kwa [...]
Mauzo ya mazao yaongezeka asilimia 43.6
Kiasi cha mazao yaliyouzwa kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kimeongezeka kwa asilimia 43.6 katika mwaka wa fedha 2025/26.
Akizungumza na waandi [...]
Tanzania yaimarisha gridi ya umeme Mtwara kwa kuanza mradi wa njia ya kusafirisha umeme Masasi–Newala
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi akiwa pamoja na viongozi wengine, ameweka Jiwe la Msingi na kukata utepe kuzindua Mradi wa Ujenzi wa Njia Maalu [...]
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali kwa usambazaji wa umeme migodini
Wachimbaji wadogo wa madini wilayani Nyang'hwale, mkoani Geita, wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa [...]

Serikali ya Marekani yazindua kampeni ya kupinga ICC
Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina ma [...]
Baba Levo: SGR kuibadilisha Kigoma kiuchumi
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi [...]
SGR Tabora-Kigoma kufungua fursa mpya za kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa [...]
Rais Samia: MV Liemba kuchochea uchumi Ziwa Tanganyika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuboresha huduma za usafiri katika Ziwa Tanganyika, ikiwemo kuimarisha meli ya MV Liemba, ili kuo [...]
Tanzania kuwa kitovu cha huduma za maabara za madini Afrika Mashariki na Kati
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) unaendelea kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha hudum [...]

