Category: Kitaifa
Makamba atoa majibu kamili bei ya mafuta
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa majibu kuhusu bei ya mafuta nchini kama ambavyo bunge lilimuagiza juma lililopita kuja na majibu ya hatua zi [...]
Rekodi mpya yavunjwa Bandari ya Dar
Ni mwezi mmoja umepita tangu Bandari ya Dar es Salaam kuvunja rekodi ya kupokea meli kubwa yenye magari 4,041, jana rekodi mpya imevunjwa baada ya mel [...]
Ndugai: Sijasema naacha siasa
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefafanua kauli aliyoitoa juzi ya kutangaza kutogombea ubunge uchaguzi mkuu 2 [...]
Rais Samia kukutana na Museveni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Uganda kuanzia tarehe 10 [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 10, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]

Samia atangaza neema bei ya mafuta nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba kuanzia Juni Mosi mwaka huu Watanzania wataanza kupata unafuu katika bei y [...]
Bob Wine kuhudhuria Baraza Kuu CHADEMA
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA, John Mrema amethibitisha ujio wa aliyekuwa mgombea w [...]
TCRA yataja sababu za kuisha kwa data
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA ) leo Mei 9,2022 imeeleza sababu zinazopelekea data kuishia kwa haraka kwenye vifurushi vya watumiaji wa mitanda [...]
Kigwangalla: Sijasema maneno hayo
Aliyewahi kuwa Waziri wa Utalii na Maliasili, Hamis Kigwangalla amefunguka na kusema kwamba taarifa iliyotolewa na akaunti moja ya mtandao wa Twitter [...]
Kikao cha dharura kushusha bei ya mafuta
Kufuatia malalamiko ya wananchi kutokana na kupanda kwa kasi kwa bei za mafuta kulikopelekea pia kupanda kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali nchin [...]