Category: Kitaifa

1 2 3 4 207 20 / 2070 POSTS
Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025 yaongezewa muda hadi Aprili 3

Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025 yaongezewa muda hadi Aprili 3

Mamlaka ya uteuzi imeongeza muda wa siku 42 kuanzia tarehe 20 Februari kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi [...]
Balozi Mteule wa Hungary awasilisha  nakala ya Hati za Utambulisho

Balozi Mteule wa Hungary awasilisha nakala ya Hati za Utambulisho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
Sekta ya utalii Kenya yakabiliwa na changamoto, watalii wahamia nchi jirani

Sekta ya utalii Kenya yakabiliwa na changamoto, watalii wahamia nchi jirani

Enzi ambazo watalii walipotoshwa kuamini kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya zimeanza kupotea, huku wengi wao sasa wakihamia vivutio vya utalii katika ma [...]
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%

Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%

Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi 23.2 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya mara tatu [...]
Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato

Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato

Kwa vigezo vyovyote vile, Bandari ya Mombasa imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa Kenya. Kwa muda mrefu, Mombasa ilikuwa lango kubwa zaidi la bahari k [...]
Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars

Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kui [...]
Serikali kujenga vituo vya kisasa vya kupoza umeme kila wilaya

Serikali kujenga vituo vya kisasa vya kupoza umeme kila wilaya

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza [...]
Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika

Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika

Tanzania imetambuliwa kuwa kinara wa uzalishaji wa kahawa iliyothibitishwa barani Afrika, hatua inayothibitisha kuimarika kwa ushawishi wake katika so [...]
Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena

Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena

Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea meli zaidi zinazoleta shehena ya magari na mitambo ambapo tarehe 09 Februari, 2026 meli nyingine ya MV ANA OCEAN [...]
Mawaziri wa Afrika waweka mkakati wa kuongeza thamani ya madini barani

Mawaziri wa Afrika waweka mkakati wa kuongeza thamani ya madini barani

Mawaziri wa Madini wa nchi za Afrika wamekubaliana kwa kauli moja kuweka mikakati ya kuongeza thamani ya madini katika nchi zao hususani madini ya kim [...]
1 2 3 4 207 20 / 2070 POSTS
error: Content is protected !!