Category: Kitaifa

1 2 3 4 196 20 / 1955 POSTS
Serikali yapiga marufuku biashara 15 kwa wageni

Serikali yapiga marufuku biashara 15 kwa wageni

Kwa mara nyingine tena, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ameonesha dhamira yake ya dhati ya kusikiliza na kuta [...]
Taasisi 88 zapatiwa vibali kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025

Taasisi 88 zapatiwa vibali kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025

Jumla ya Taasisi za ndani 76 na nje 12 zimepata kibali cha kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba [...]
Daraja la Masagi mkombozi kwa wananchi wa Iramba

Daraja la Masagi mkombozi kwa wananchi wa Iramba

Kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi–Masagi kunatarajiwa kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika K [...]
Kiwanda cha kuunganisha pikipiki na bajaji kujengwa Chamwino

Kiwanda cha kuunganisha pikipiki na bajaji kujengwa Chamwino

Kiwanda kipya cha kwanza cha kuunganisha pikipiki na bajaji kitajengwa katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Kiwanda hicho kitajengwa mkoani hom [...]
Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM

Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba mpya ya vikao vya uteuzi wa watia nia wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani ili kufanikisha mchakato wa [...]
Waziri Aweso aitaka kasi na ubora kwa wakandarasi wa Mradi wa Maji Njombe

Waziri Aweso aitaka kasi na ubora kwa wakandarasi wa Mradi wa Maji Njombe

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amewakemea wakandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa Wanging'ombe na Makambako, mkoani Njombe, kutokana [...]
Sh bilioni 298 kugharamia kifua kikuu, UKIMWI na Malaria

Sh bilioni 298 kugharamia kifua kikuu, UKIMWI na Malaria

Jumla ya Sh bilioni 298 zimetumika na serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 na 2025/26 kuongeza nguvu manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha z [...]
Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%

Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%

Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mkoa wa Geita umepata mafanikio makubwa yaki [...]
Rais Samia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni jumuishi

Rais Samia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni jumuishi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ili nchi ifikie malengo iliyojiwekea katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, taasisi za umma, sekta bin [...]
Mradi wa EACOP wafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Tanga

Mradi wa EACOP wafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Tanga

Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R [...]
1 2 3 4 196 20 / 1955 POSTS
error: Content is protected !!