Category: Kitaifa
China, Tanzania na Zambia kufufua reli ya TAZARA kupitia mkataba mpya wa dola bilioni 1.4
Nchi za China, Tanzania na Zambia zimeanza rasmi hatua za kufufua na kuboresha Reli ya TAZARA, mradi mkubwa wa kihistoria uliojengwa katika kipindi ch [...]
Dkt Samia: Nafasi hizi sio fahari ni dhamana kuwatumikia wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema nafasi alizowapa mawaziri na naibu mawaziri sio fahari, bali ni dhamana za kuwatumikia wananchi.
Amesema watakaoub [...]
Dkt Samia: Nataka matokeo kwa wananchi sio michakato inaendelea
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewaapisha mawaziri na naibu mawaziri wake, huku akiwaeleza katika muhula wa pili wa Serikali yake, anataka kuona matoke [...]
Usafiri wa mwendokasi Mbagala kurejea Novemba 20
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameziagiza kampuni ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (UDART) pamoja na taasisi mbalimbali za Serik [...]
Bil 146/- kujenga barabara za lami Ilala
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema wilaya hiyo inatekeleza ujenzi wa barabara za lami zenye jumla ya kilomita 146 kwa thamani ya Sh bili [...]
Hii hapa orodha ya Baraza la Mawaziri lililotangazwa na Rais Samia Suluhu
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Waziri - Mh. Ridhiwani Jakaya Kikwete
Naibu - Regina Ndege Kwarai
Ofisi ya Rais Mip [...]
Tanzania kupata bil 49/- kukabili athari mabadiliko tabianchi
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazotarajia kunufaika na Dola za Marekani milioni 20 (sawa na Sh bilioni 48.9) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya k [...]
Ifikapo 2030 Serikali imelenga kufikisha watalii milioni 8
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuelekea mwaka 2030 mpango wa serikali ni kukuza sekta ya utalii lengo likiwa kufikisha watalii wa ndani na nje milio [...]
Waliohudhuria mkutano ufunguzi wa bunge
Wageni na wawakilishi wa mataifa mbalimbali wamehudhuria ufunguzi wa Bunge 13, linalozinduliwa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan jijini Dod [...]
Bunge la Tanzania lairishwa, kurejea Januari 27, 2026
Baada ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kumaliza kulifungua rasmi na kulihutubia Bunge leo Novemba 14, 2025 jijini Dodoma, shughuli za Bunge z [...]

