Category: Kitaifa

1 2 3 4 197 20 / 1970 POSTS
Madai ya Polepole yakanushwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

Madai ya Polepole yakanushwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wa uchaguzi unaotumika na Tume hiyo umeunganishwa na mfumo wa Mamlaka ya [...]
TARURA yajenga madaraja 439 ya mawe, yaokoa Sh bilioni 75

TARURA yajenga madaraja 439 ya mawe, yaokoa Sh bilioni 75

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) umesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, wamefanikiwa kujenga jumla ya madaraja 439 ya mawe yenye thamani [...]
TRC kumwaga ajira 2,460 SGR

TRC kumwaga ajira 2,460 SGR

Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya Kutoka Dar e [...]
Ukomo wa gharama mgombea urais bilioni 9, ubunge milioni 136

Ukomo wa gharama mgombea urais bilioni 9, ubunge milioni 136

Ofisi ya Msajili ya Vyama vya Siasa imesema wagombea urais wamewekewa ukomo wa kutumia Sh bilioni tisa kugharamia uchaguzi. Mkuu wa Kitengo cha She [...]
Agosti 21 na 23 kujulikana hatma ya watia nia Ubunge CCM

Agosti 21 na 23 kujulikana hatma ya watia nia Ubunge CCM

Hatimaye mbivu na mbichi kuhusu nani atapewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kwa nafasi ya ubunge iwe wa kuchaguliwa au vi [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Tuzo ya Heshima ya Maji

Rais Samia Suluhu atunukiwa Tuzo ya Heshima ya Maji

Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima ya Maji ‘Presidential Global Water Changemakers Awards 2025’ iliyotolewa na Global Water P [...]
Fahamu Maeneo Maalumu ya Kiuchumi yaliyozinduliwa na Serikali

Fahamu Maeneo Maalumu ya Kiuchumi yaliyozinduliwa na Serikali

Serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imezindua rasmi Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (SEZs) yenye lengo la [...]
Waziri Mkuu akagua mabasi, miundombinu ya mradi wa BRT Awamu ya Pili

Waziri Mkuu akagua mabasi, miundombinu ya mradi wa BRT Awamu ya Pili

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Agosti 13, 2025 amekagua mabasi mapya kwa ajili ya awamu ya pili mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT-2) pamoja n [...]
Shilingi bilioni 86.31 zakusanywa siku ya kwanza ya Harambee ya CCM

Shilingi bilioni 86.31 zakusanywa siku ya kwanza ya Harambee ya CCM

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekusanya zaidi ya Sh bilioni 86.31 katika siku ya kwanza ya kampeni yake ya kuchangishana inayolenga kukusanya Sh bilioni [...]
CCM yazindua Harambee ya kuchagia fedha kwa ajili ya kampeni

CCM yazindua Harambee ya kuchagia fedha kwa ajili ya kampeni

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi harambee ya kitaifa kwa lengo la kuchangia fedha za kufanikisha kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 [...]
1 2 3 4 197 20 / 1970 POSTS
error: Content is protected !!