Category: Kitaifa

1 2 3 4 187 20 / 1865 POSTS
Sekta ya madini yafikia lengo la mchango wake kwenye Pato la Taifa

Sekta ya madini yafikia lengo la mchango wake kwenye Pato la Taifa

Serikali imesema mchango wa sekta ya madini katika pato la taifa umefikia asilimia 10.1. Taarifa hiyo imetolewa jana Dodoma na Waziri wa Madini, An [...]
Gwajima- sakata la mabinti wa chuo Mwijaku kuhojiwa na polisi

Gwajima- sakata la mabinti wa chuo Mwijaku kuhojiwa na polisi

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dr. Doroth Gwajima ametoa taarifa kwa umma kufuatia tukio la udhalilishaji wa binti [...]
Umri wa kuishi kwa wanawake Tanzania umeongezeka hadi miaka 70

Umri wa kuishi kwa wanawake Tanzania umeongezeka hadi miaka 70

Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS) imeripoti kuwa wastani wa umri wa kuishi kwa mwanamke wa Kitanzania anayezaliwa mwaka 2025 umeongezeka ha [...]
Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro

Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi wa picha mjongeao (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandano ya kijamii ya Aprili 20, 2 [...]
Serikali yalipa zaidi ya shilingi bilioni 47 kwa watumishi walioondolewa kwa kughushi vyeti

Serikali yalipa zaidi ya shilingi bilioni 47 kwa watumishi walioondolewa kwa kughushi vyeti

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizoandikwa na Gazeti la Rada tarehe 14 Aprili 2025, [...]
Rais Samia Suluhu kuwa mgeni rasmi katika tuzo za ‘Samia Kalamu’ Dodoma

Rais Samia Suluhu kuwa mgeni rasmi katika tuzo za ‘Samia Kalamu’ Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za ‘Samia Kalamu’ zitak [...]
CHADEMA kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi mwaka huu

CHADEMA kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi mwaka huu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ndugu John Mnyika ameufahamisha umma kwamba hatohudhuria na hatoshiriki kwenye kikao cha leo [...]
Tume, Serikali na Vyama vya Siasa kusaini maadili ya uchaguzi

Tume, Serikali na Vyama vya Siasa kusaini maadili ya uchaguzi

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotu [...]
Tanzania yaondoa sharti la kulipia viza ya utalii kwa raia wa Angola

Tanzania yaondoa sharti la kulipia viza ya utalii kwa raia wa Angola

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali ya Tanzania itaondoa sharti la kulipia viza ya kitalii kwa Raia wa Angola kuingia Tanzania, kama amb [...]
Usafiri Somanga warejea

Usafiri Somanga warejea

Usafiri umerejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiri baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya [...]
1 2 3 4 187 20 / 1865 POSTS
error: Content is protected !!