Category: Kitaifa

Serikali ya Marekani yazindua kampeni ya kupinga ICC
Marekani imetangaza kutosalimu amri kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), huku Waziri wa Mambo ya Nje, Marco Rubio akisema taasisi hiyo haina ma [...]
Baba Levo: SGR kuibadilisha Kigoma kiuchumi
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi [...]
SGR Tabora-Kigoma kufungua fursa mpya za kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa [...]
Rais Samia: MV Liemba kuchochea uchumi Ziwa Tanganyika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuboresha huduma za usafiri katika Ziwa Tanganyika, ikiwemo kuimarisha meli ya MV Liemba, ili kuo [...]
Tanzania kuwa kitovu cha huduma za maabara za madini Afrika Mashariki na Kati
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) unaendelea kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha hudum [...]
Rais Samia: Kalamu ya mwanasheria iwe nyenzo ya kulinda maslahi ya Taifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kalamu ya Mwanasheria wa Serikali ni nyenzo muhimu katika kulinda maslahi ya Taifa, akisisitiza kuwa ikitumika kwa we [...]
Utegemezi wa mashirika ruzuku ya serikali wapungua asilimia 13
Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu amesema kwa miaka mitano iliyopita kiwango cha mashirika ya umma yasiyo ya kibiashara kutegemea ruzuku ya serikali [...]
TTCL, Posta zaandika historia uchangiaji gawio serikalini
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na Shirika la Posta Tanzania zimeandika historia mpya baada ya kurejea katika faida na kuanza kuchangia gawio serikali [...]
Katambi: Iwe CCM au chama chochote, mikutano isitishwe
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Camillius Wambura kusitisha kwa muda vibali vya mi [...]
DART yapata Sh bilioni 56.6 kwa upanuzi wa Mradi wa BRT Awamu ya Tatu
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umepata ufadhili wa Shilingi bilioni 56.6 kutoka Benki ya Dunia kwa ajili ya kupanua Depo ya Gon [...]

