Category: Kitaifa

1 2 3 4 5 6 170 40 / 1696 POSTS
Mfalme Harald V ampongeza Rais Samia kwa kulinda haki za mtoto wa kike

Mfalme Harald V ampongeza Rais Samia kwa kulinda haki za mtoto wa kike

Mfalme wa Norway, Harald V amempongeza Rais Samia Suluhu kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhakikisha kwamba analinda na kuzipigania haki za mtoto wa kik [...]
Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican

Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican

Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis leo Februari 12,2024 San Damaso mjini Vatican na kufanya mazunguko ya faragha. Pia Rais Samia alikutana [...]
Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican

Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican

Rais Samia Suluhu Hassan ameambata na viongozi watano wa vyama vya kitume vya Kanisa Katoliki Tanzania kwenda kumwona Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, [...]
Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa

Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa

Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kilichotokea leo tarehe 10 Februar [...]
Sera za Rais Samia zilivyoimarisha shilingi ya Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo

Sera za Rais Samia zilivyoimarisha shilingi ya Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo

Tangu aingie madarakani Machi 19, 2021 , Rais Samia Suluhu ameweza kuimarisha thamani ya shilingi ya Tanzania na kuendelea kuwa imara ikilinganishwa n [...]
Ushawishi wa Tanzania Duniani utategemea na Ubora wa Sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa

Ushawishi wa Tanzania Duniani utategemea na Ubora wa Sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa

Imeelezwa kuwa ili Tanzania iweze kufikia malengo ya  Maendeleo iliyojiwekea, lazima iwe na Sera Bora ya Mambo ya Nje inayozingatia maoni na matakwa y [...]
TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeongeza mara mbili umiliki wa kitalu cha gesi asilia cha Mnazi Bay baada ya kusaini mikataba miwili [...]
Thamani ya uwekezaji yaongezeka kwa 80%

Thamani ya uwekezaji yaongezeka kwa 80%

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesajili miradi yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1.4 (karibu Shilingi trilioni 4) ndani ya miezi mitatu [...]
Sera za uchumi za Rais Samia zaleta neema kwa mabenki

Sera za uchumi za Rais Samia zaleta neema kwa mabenki

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Sera nzuri za uchumi za serikali tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani zimeleta neema kubwa kwenye se [...]
Rais Samia asisitiza upandaji wa miti nchini

Rais Samia asisitiza upandaji wa miti nchini

Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na wananchi wa makundi mbalimbali kupanda miti 4720 inayotarajiwa ikiwemo miti 120 ya matunda. Miti hiyo imepand [...]
1 2 3 4 5 6 170 40 / 1696 POSTS
error: Content is protected !!