Category: Kitaifa

1 3 4 5 6 7 169 50 / 1683 POSTS
Rais Samia afarijika kuona 58% ya wahitimu ni wanawake

Rais Samia afarijika kuona 58% ya wahitimu ni wanawake

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuleta mabadiliko chanya katika jamii mara wanapohitimu masomo yao. Ameyasema hay [...]
Kozi nne zaongezwa mikopo ya diploma 2023-2024

Kozi nne zaongezwa mikopo ya diploma 2023-2024

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Heslb) imetangaza nyongeza ya kozi mpya nne zitakazopewa kipaumbele katika utoaji wa mikopo kwa ngazi ya diploma kwa m [...]
Rais Samia : Tanzania inafunguka, Tanzania ni jina kubwa

Rais Samia : Tanzania inafunguka, Tanzania ni jina kubwa

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wazalishaji nchini kuongeza juhudi na kutumia fursa zilizopo nchini ili ziweze kuwasaidia katika shughuli zao lakin [...]
Rais Samia aagiza suluhu changamoto ya udanganyifu wa mitihani

Rais Samia aagiza suluhu changamoto ya udanganyifu wa mitihani

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kushughlikiwa kwa changamoto ya udanganyifu wa mitihani inayosababisha Tanzania kuwa na wimbi kubwa la wahitimu wasi [...]
Mtanzania mwingine auawa nchini Israeli

Mtanzania mwingine auawa nchini Israeli

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema amejulishwa na Serikali ya Israel kwamba kijana wa Kitanzania, Josh [...]
Rais Samia amuunga mkono Prof. Jay kwa Sh. Milioni 97

Rais Samia amuunga mkono Prof. Jay kwa Sh. Milioni 97

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni 97 katika taasisi ya [...]
Rais Samia asema Hanang itarejea kama zamani

Rais Samia asema Hanang itarejea kama zamani

Rais Samia Suluhu Hassan amesema maisha ya watanzania walioathirika na maafa ya mafuriko na maporomoko ya tope huko wilayani Hanang mkoani Manyara yat [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 2,244

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 2,244

Jumla ya wafungwa 2,244 watanufaika na msamaha uliotolewa leo na Rais Samia Suluhu ambapo 263 wataachiwa huru tarehe 09/12/2023, wafungwa wawili walio [...]
Rais Samia awapongeza watangulizi wake kwa maendeleo

Rais Samia awapongeza watangulizi wake kwa maendeleo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Saluhu Hassan amesema mafaniko ya Tanzania yametokana na maono ya viongozi waliomtangulia. [...]
Sh. bilioni 80 kuendeleza Bandari ya Mbamba Bay

Sh. bilioni 80 kuendeleza Bandari ya Mbamba Bay

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA imeingia Mkataba wa usanifu na ujenzi wa uendelezaji wa Bandari ya Mbamba Bay iliyopo wilayani Nyasa Mko [...]
1 3 4 5 6 7 169 50 / 1683 POSTS
error: Content is protected !!