Category: Kitaifa

1 52 53 54 55 56 198 540 / 1974 POSTS
Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi

Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi

Serikali ya Tanzania imetuma helikopta mbili nchini Malawi zenye msaada wa vifaa, chakula pamoja na fedha Dola milioni moja (Sh. bil. 2.3) taslimu kwa [...]
Serikali kuendelea na maboresho ya sekta ya afya

Serikali kuendelea na maboresho ya sekta ya afya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kununa vifaa vya matibabu ili huduma nyingi za kitabibu au matabibu bingwa zitolewe [...]
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza

Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza

Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]
Tanzania kuwa ghala la chakula barani Afrika

Tanzania kuwa ghala la chakula barani Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutumia vyema fursa ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) [...]
Miwili bila JPM, Kazi inaendelea

Miwili bila JPM, Kazi inaendelea

Leo ni kumbukizi ya miaka miwili tangu afariki dunia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli. Dk. Magufuli aliaga dunia Machi 17 [...]
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa Afrika wa chakula na kilimo

Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa Afrika wa chakula na kilimo

Huenda Afrika likaanza kujitosheleza kwa chakula siku zijazo baada ya wadau wa maendeleo na wataalam wa sekta ya kilimo kukutana Tanzania ili kujadili [...]
Rais Samia afikisha Daraja la JPM 74%

Rais Samia afikisha Daraja la JPM 74%

Miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan, daraja la JP Magufuli limefikia asilimia 74 ya ujenzi wake, ambapo mpaka sasa Sh bilioni 368.671 zimetolewa [...]
Maboresha katika Bandari ya Tanga yaanza kuleta matunda

Maboresha katika Bandari ya Tanga yaanza kuleta matunda

Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imepokea meli ambayo imebeba mzigo wa magari pamoja na shehena nyingine za mizigo kutoka nchini China. Meli hiy [...]
Zaidi ya Sh. Bilioni 100 kuboresha vyuo vya ufundi stadi

Zaidi ya Sh. Bilioni 100 kuboresha vyuo vya ufundi stadi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inawekeza zaidi ya Sh bilioni 100 kwa ajili ya kuboresha elimu kwenye vyuo vya ufundi na stadi mbal [...]
Maboresho Bandari ya Tanga yamkosha Balozi wa Rwanda nchini

Maboresho Bandari ya Tanga yamkosha Balozi wa Rwanda nchini

Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Meja Jenerali Charles Karamba amefanya ziara ya kutembelea Bandari ya Tanga. Lengo la ziara hiyo pamoja n [...]
1 52 53 54 55 56 198 540 / 1974 POSTS
error: Content is protected !!