Category: Kitaifa

Miaka minne ya Rais Samia, Tanzania ipo imara
LEO inatimia miaka minne tangu Rais Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais tarehe 19 Machi, 2021, kufuatia kifo cha Rais mstaafu, Ma [...]
Taarifa kuhusu gari la polisi kuibiwa mkoani Mbeya
Ikiwa wewe ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii huenda umekutana na taarifa ya wezi kuiba gari la polisi mkoani Mbeya, taarifa hizo sio za kweli.
Taa [...]

Sera mpya ya ardhi iliyozindulizwa itasaidia utatuzi wa migogoro ya ardhi
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua Sera mpya ya Ardhi inayolenga kufanya maboresho katika sekta hiyo ikiwemo kutatua migogoro ya ardhi ya [...]
Miaka minne bila Magufuli: Tanzania imesonga mbele
Rais Samia ameendeleza miradi mikubwa ya kimkakati iliyoasisiwa na mtangulizi wake, huku akifungua fursa mpya za kiuchumi. Miradi kama Bwawa la Umeme [...]
Tanzania ina umeme wa kutosha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchemsi Mramba, amesema Tanzania ina umeme wa kutosha kwa matumizi yake na kuuza nchi zingine, huku akita [...]
TRC yakamilisha majaribio ya mabehewa ya mizigo ya SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limekamilisha majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo yaliyowasili nchini Desemba 2024. Majaribio ya mabehewa hayo yaliyoch [...]

Serikali yaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inaendelea kuimarisha mazingira rafiki ya uwekezaji kwa lengo [...]
Rais Samia awasihi wawekezaji kulipa kodi na tozo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Kiwanda cha Chokaa na Saruji- Maweni Limestone mkoani Tanga na kuzung [...]

Rais Samia: Hata gesi iikisha endeleeni kutumia majiko haya
RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka wanufaika wote wa mradi uliozinduliwa leo wa majiko ya Ruzuku kuendeleza matumizi majiko hayo hata pale gesi iliyog [...]
Rais Samia ampisha mwanafunzi kukalia kiti chake
Rais Samia Suluhu Hassan, akiendelea na ziara yake wilayani Muheza, mkoa wa Tanga, alifanya kitendo kilichogusa hisia za watu wengi baada ya kumpisha [...]