Category: Kitaifa

1 71 72 73 74 75 198 730 / 1979 POSTS
Amuua kikatili na kisha kumla nyama

Amuua kikatili na kisha kumla nyama

Mkazi wa Kitongoji cha Chang’ombe, Kijiji cha Kaloleni wilayani Songwe, Berta Shugha (69) ameuawa kikatili na mwili wake kukatwa vipande vipande huku [...]
CHADEMA: Tumechoka mtu wetu kuwa mkimbizi

CHADEMA: Tumechoka mtu wetu kuwa mkimbizi

Chama cha Demokrasia (CHADEMA) mkoa wa Singida kimesema kimechoka kumwona Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu akiishi ughaibuni kama mkimbiz [...]
Wanaotupa taka wazomewe

Wanaotupa taka wazomewe

Mhe. Amos Makalla amesema licha ya uwepo wa sheria na kanuni za kuwadhibiti wachafuzi wa Mazingira hususani wanaotupa taka hovyo ni vyema pia ikae [...]
Helikopta kutua Mlima Kilimanjaro

Helikopta kutua Mlima Kilimanjaro

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imesema imeridhishwa na miundombinu ya utalii ikiwemo viwanja vya kutua helikopta katika Hifad [...]
Watahiniwa 566,840 kidato cha nne kuanza mtihani kesho

Watahiniwa 566,840 kidato cha nne kuanza mtihani kesho

Jumla ya watahiniwa 566,840 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne utakaoanza kesho Novemba 14, 2022 Tanzania Bara na Zanzibar. Kaimu Mtend [...]
Lady Jaydee kusimama na Rais Samia

Lady Jaydee kusimama na Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa kuleta suluhu nchini Tanzania kwa kuwaunganisha Watanzania bila kujali itikadi zao, dini au jinsia katika ku [...]
Matunda ziara ya Rais Samia nchini China na Misri

Matunda ziara ya Rais Samia nchini China na Misri

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, amezungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Rais Samia nchini China na Misri. Zuhura [...]
Royal Tour yajibu, watalii zaidi ya 1,000 waja na meli

Royal Tour yajibu, watalii zaidi ya 1,000 waja na meli

Ikiwa imepita miaka miwili tangu janga la Uviko-19 litikise dunia na shughuli za utalii kuanza kurejea, jana Tanzania ilipokea meli kubwa ya watalii z [...]
CHADEMA yasusia vikao vya marekebisho ya sheria

CHADEMA yasusia vikao vya marekebisho ya sheria

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitashiriki katika vikao vya marekebisho ya sheria vinavyoanza leo na kudai kinachopaswa kuanza [...]
Sababu za Air Tanzania kupunguza miruko

Sababu za Air Tanzania kupunguza miruko

Taarifa iliyotolewa na Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL) imesema "Kutokana na changamoto za kiufundi kote duniani za injini aina ya PW1524G-3 zi [...]
1 71 72 73 74 75 198 730 / 1979 POSTS
error: Content is protected !!