Konyagi yaja na chupa ya mwanamke

HomeKitaifa

Konyagi yaja na chupa ya mwanamke

Katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani, Kampuni ya Tanznaia Distilleries Limited, kupitia kinywaji chake cha Konyagi imezindua chpa maalumu ikilenga kuwatambua wanawake 50 kwa michango mbalimbali katika jamii.

Meneja wa Chapa ya KOnyagi, Pamela Kikuli alisema wamezindua chupa hizo zaidi ya 50,000 zenye ujazo wa mililita 500 maalumu na iztakuwa na ishara ya mwanamke na tofauti na yenye ishara ya mwanaume kama ilivyozoeleka.

Pamela alitoa wito kwa wapenzi wa kinywaji hicho kuwatambua wanawake ambao wamekuwa na michango mbalimbali katika jamii na kuwanunulia chapa hiyo maalumu.

“Kama namna ya kutambua mchango wa wananwake tumeamua kuzindua chupa hii mpya,” alisema Kikuli.

error: Content is protected !!