Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Msimbati, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Taufiki Salumu Hamisi ameandika barua yakuacha shule baada ya kuchaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule hiyo.
![](https://clickhabari.com/wp-content/uploads/2022/02/FMXKb6LX0AYE1sv.jpg)
Barua iliyoandikwa na Mwanafunzi Taufiki Hamisi kwenda kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo.