Simba kumuaga Wawa

HomeMichezo

Simba kumuaga Wawa

Klabu ya Simba imeamua kuacha na beki wake wa kati raia wa Ivory Coast Pascal Wawa baada ya mkataba wake kumalizika kwenye klabu hiyo yenye makazi yake Msimbazi Kariakoo.

Kupitia Instagram yao wamemuaga mchezo huyo huku wakisema mchezo wa Simba dhidi ya Mtibwa ndio utakuwa mchezo wake wa mwisho wa kuitumikia klabu hiyo.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Simba Sports Club (@simbasctanzania)

Wawa ameitumikia Simba kwa takribani miaka minne huku akifanikiwa kutwaa mataji mbalimbali yakiwemo Ligi kuu.

 

 

error: Content is protected !!