Tag: Bunge la Tanzania

1 22 23 24 25 26 78 240 / 775 POSTS
Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Mamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’  vinavyodaiwa kutumiwa na baadhi ya wanaw [...]
Magazeti ya leo Januari 19,2023

Magazeti ya leo Januari 19,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Januari 19,2023. [...]
Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Jamii ya Wahadzabe na Wadatoga wanaoishi wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha, wametishia kuyahama makazi yao kwa kuwa halmashauri ya wilaya hiyo ime [...]
Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa i [...]
Magazeti ya leo Januari 17,2023

Magazeti ya leo Januari 17,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Januari 17,2023. [...]
Fahamu kuhusu asali

Fahamu kuhusu asali

Wengi wetu tumezoea asali kwa matumizi ya kula lakini kama ulikua hujui pia ni tiba ya ngozi pamoja na kuzui chunusi. Kutokana na uwezo wa asali ku [...]
Qayllah wa Shetta ateuliwa kuwa Mjumbe CCM

Qayllah wa Shetta ateuliwa kuwa Mjumbe CCM

Mtoto wa mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva Shetta afahamikaye kwa jina la Qayllah Nurdin ameteuliwa na Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dar e [...]
Magazeti ya leo Januari 11,2023

Magazeti ya leo Januari 11,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Januari 11,2023. [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Januari 9,2023

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Januari 9,2023

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Januari 9,2023. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watch?v=NVOuH [...]
Zaidi ya watainiwa 270 wafutiwa matokeo darasa la nne, kidato cha pili

Zaidi ya watainiwa 270 wafutiwa matokeo darasa la nne, kidato cha pili

Udanganyifu katika vyumba vya mitihani umewaponza watahiniwa 279 wa kidato cha pili na darasa la nne mwaka jana kutokana na Baraza la Mitihani Tanzani [...]
1 22 23 24 25 26 78 240 / 775 POSTS
error: Content is protected !!