Tag: habari kubwa za michezo

Tanzania kutoshiriki Miss World 2021
Mwakilishi wa Tanzania Juliana Rugamisa hatoweza kwenda kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya urembo wa dunia mwaka 2021 sababu z [...]
Ngono inavyoweza kuimarisha afya ya akili
Tatizo la afya ya akili limekua likiongezeka kwa kasi hususani kwa vijana, Watu wachache hugundua kuwa wana matatizo ya afya ya akili lakini kwa sehem [...]
Faida za kiafya za kulala uchi
Ikiwa bado hujawahi lala uchi, inaweza kuwa wakati wa kujaribu sasa. Makala hii itaeleza jinsi kulala uchi kunavyoweza kukusaidia kupata pumziko bora, [...]
Wasanii wa Bongo mjifunze kwa Wizkid
Mwaka 2021 umekuwa ni wa baraka sana kwa nyota kutoka nchini Nigeria Wizkid kwani ngoma yake ya ‘ Essence’ imekuwa ikipasua miamba ya dunia kwa kusiki [...]
Mwanafunzi abakwa, atobolewa macho na Kuuwawa
Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maendeleo Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, Zinati Alifa mkazi wa mtaa wa Mchema mwenye umri wa mia [...]
Mwanamke aliyemshtaki daktari wa mama yake kwa kuzaliwa ashinda kesi
Mwanamke ambaye alimshtaki daktari wa mama yake akidai kwamba hakupaswa kuzaliwa ameshinda kesi na kutakiwa kulipwa mamilioni ya fidia. Evie Toombes, [...]
Ugonjwa wa wanawake kuota nywele kifuani na usoni
Baadhi ya wanawake wamekua na nywele maeneo ya kifua na usoni. Kitaalamu hii hali huitwa “Hirsutism” ambapo madaktari hufanya uchunguzi juu ya tatizo [...]
Kauli ya Jeshi la Polisi kuhusu kugeuza simu za wizi kuwa za biashara
Jeshi la Polisi nchi Tanzania leo November 30 limetoa taarifa kufuatia kuwepo kwa taarifa mbaya kuhusu jeshi hilo, Mnamo Novemba 29 mwaka huu kuna taa [...]
Rasmi kisiwa cha Barbados kuwa Jamhuri
Barbados imekuwa Jamhuri rasmi ikichukua nafasi ya Malkia wa Uingereza kama mkuu wake wa Serikali na kukata vifungo vya mwisho vya ukoloni vilivyosali [...]
NHC yawashukia wadaiwa sugu
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kuanza kuwaondoa wapangaji wa nyumba zake ambao ni wadaiwa sugu huku kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Wizar [...]

