Tag: habari kubwa za michezo
Rais Samia: Nchi za jirani zinatamani fursa tuliyoipata
Rais Samia Suluhu Hassan amesisistiza kuwa wakati Tanzania inaendelea kujadili makubaliano ya bandari na kampuni kubwa ya Dubai, bandari pinzani katik [...]
Matokeo kidato cha sita 2023, 11 wafutiwa
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya watahiniwa 11 wa kidato cha sita baada ya kubainika kufanya vitendo vya udanganyifu katika mti [...]
Ajira mpya 77 Kada za Afya
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imetangaza tena nafasi za ajira kwa kada za Afya 77 nakuwataka wa [...]
Mbunge wa Mbarali afaraki dunia
MBUNGE Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya, Francis Mtega amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Julai Mosi, 2023 inasema kuwa Mtega amepata a [...]
Rais Samia apongezwa na USAID kwa mageuzi ya kiuchumi na kidemokrasia
Msimamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), Bi. Samantha Power, amekiri azma ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza mageuzi [...]
Jaji Feleshi akemea lugha za kibaguzi mjadala wa bandari
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa k [...]
CNOOC ya China kufanya utafiti wa mafuta na gesi baharini Tanzania
Kampuni ya CNOOC Ltd ya China inapanga utafiti wa mafuta na gesi baharani kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Petroli la Tanzania ( TPDC) waka [...]
China na Tanzania kushirikiana uzalishaji wa nishati jadidifu
Ziara ya Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba nchini China imezaa matunda baada ya China kuahidi kushirikiana na Tanzania katika uzalishaji wa nish [...]
China yaahidi kuwekeza sekta ya nishati Tanzania
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Mfuko wa Uwekezaji wa China Africa Development Fund (CADFUND) umeonesha nia ya kuwekeza Tanzania katika sek [...]
Wanafunzi 150 kutoka Sudan wahamishiwa Muhimbili
Wanafunzi 150 wa udaktari kutoka Chuo Kikuu cha Tiba, Sayansi na Teknolojia (UMST) cha Khartoum nchini Sudan wamehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbil [...]

