Tag: habari kubwa za michezo
Uchumi kukua kwa 5.2% mwaka 2023
Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua kwa kasi ya asilimia 5.2 mwaka 2023 kutoka asilimia 4.7 mwaka jana ukichochewa zaidi na sababu mbalimbali zikiwemo [...]
Malori yaliyokwama Namanga yaruhusiwa kuingia Kenya
Zaidi ya malori 500 yaliyokwama katika Mpaka wa Namanga yakibeba mahindi yameruhusiwa kuingia nchini Kenya kuanzia jana usiku.
Hatua hii ni kufuati [...]
Manufaa yatakayo patikana baada ya ushirikiano katika ya Serikali na Serikali ya Dubai.
Yafuatayo ni manufaa ambayo yanatarajiwa kupatikana iwapo Bunge letu Tukufu litaridhia Azimio hili na kuwezesha Serikali kuendelea na hatua zinazofuat [...]
Bei mpya za mafuta kuanza Juni 7, 2023
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta hapa nchini mwezi Juni, 2023.
Bei hizi zimeaanza [...]
Fahamu kuhusu ndege ya Air Tanzania Cargo
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwaongoza Watanzania kupokea ndege ya kwanza ya mizigo ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya B [...]
Magazeti ya leo Juni 2,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 2,2023.
[...]
Rais Samia ashiriki kuapishwa kwa Rais Tinubu
Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Nigeria, Bola Tinubu, aliyeapishwa jana M [...]
Magazeti ya leo Mei 29,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Mei 29,2023.
[...]
Mmoja afariki kwa Mkapa
Taarifa ya Awali: Kuhusu Majeruhi Mkapa Stadium DSM. Hadi sasa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke imepokea Majeruhi 30 ambapo 1 amefariki (Mwanaume m [...]

Majaji walioweka historia Ikulu mpya Chamwino
Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu Ikulu mpya ya Tanzania kuzinduliwa, leo majaji sita wa Mahakama ya Rufani wamekuwa watu wa kwanza kuapa katika jengo [...]

