Tag: habari kubwa za michezo

1 24 25 26 27 28 123 260 / 1222 POSTS
DC Iringa awataka kina mama kuachana na ‘vibenteni’

DC Iringa awataka kina mama kuachana na ‘vibenteni’

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Verronica Kessy amewaonya akina mama (wanawake watu wazima) wanaojihusisha kimapenzi na wavulana wadogo (vibenteni) akisema [...]
Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China

Fahamu nchi 10 za Afrika zenye madeni makubwa China

China ni kati ya mataifa makubwa duniani yanayokopesha nchi nyingi za Afrika kiwango kikubwa cha fedha zinazowasaidia kutekeleza miradi na pia kuendes [...]
CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema chama hicho kimekubali kupokea ruzuku ya Sh. milioni 102 kwa mw [...]
Rais Samia aridhia waliovamia eneo la Uwanja wa KIA kulipwa fidia

Rais Samia aridhia waliovamia eneo la Uwanja wa KIA kulipwa fidia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itawalipia fidia wale wote waliovamia eneo la Uwanja wa Ndege wa Ki [...]
Waandaaji wa Miss Tanzania wapinga wazo la Zuchu

Waandaaji wa Miss Tanzania wapinga wazo la Zuchu

Baada ya msaani Zuhuru 'Zuchu' kutumia Sash yenye jina la Miss Tanzania kwenye cover ya wimbo wake mpya wa NAPAMBANA. waandaaji wa mashindano ya Uremb [...]
Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’

Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’

Uongozi wa Umoja wa Bodaboda wilayani Arusha (UBOJA) wamelaani kauli iliyotolewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini  (Chadema), Godbless Lem [...]
Anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuchunguzwa

Anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuchunguzwa

Kaminshna wa Polisi Zanzibar, Hamad Khamisi, amesema wanamchunguza askari wao anayetuhumiwa kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja (ushoga) na ikith [...]
Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo

Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna shida katika uongozi bora Tanzania, jambo ambalo limekuwa likiibua changomoto kwa baadhi ya viongozi wa Serikali [...]
Magazeti ya leo Machi 2,2023

Magazeti ya leo Machi 2,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Machi 2,2023. [...]
1 24 25 26 27 28 123 260 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!