Tag: habari kubwa za michezo

1 61 62 63 64 65 123 630 / 1222 POSTS
Magazeti ya leo Julai 26,2022

Magazeti ya leo Julai 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 26,2022. [...]
TANZIA: Kiroboto afariki dunia

TANZIA: Kiroboto afariki dunia

Mpiga matarumbeta maarufu King Kiroboto OG amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka akiwa kwenye shoo katika Hoteli ya Giraffe, Temeke [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Utakayoulizwa na karani wa sensa

Utakayoulizwa na karani wa sensa

Mbali na kutaja idadi ya wanakaya, karani wa sensa atauliza kama una/ ana matatizo ya kukumbuka au kufanya kitu kwa umakini. Swali hili linataka kujua [...]
23.3% kufafanuliwa kesho

23.3% kufafanuliwa kesho

Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]
Uganda wavutiwa na Tanzania

Uganda wavutiwa na Tanzania

Wabunge wa Uganda waliokuja kutembelea miundombinu ya nishati nchini wakiongozwa na Waziri wa Nchi, Maendeleo ya Nishati na Mdibi, Dkt. Peter Lokeris [...]
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu

Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu

Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ya barabara ikiwemo kuchimba mchanga kwa sababu vitendo hivyo vi [...]
Usichaji simu hadi asilimia 100

Usichaji simu hadi asilimia 100

Huenda watumiaji wa simu za mkononi za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple wakaepuka gharama za kununua au kutengeneza betri za simu yao mara [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
1 61 62 63 64 65 123 630 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!