Tag: habari kubwa za michezo
Magazeti ya leo Julai 26,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 26,2022.
[...]
TANZIA: Kiroboto afariki dunia
Mpiga matarumbeta maarufu King Kiroboto OG amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka akiwa kwenye shoo katika Hoteli ya Giraffe, Temeke [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Utakayoulizwa na karani wa sensa
Mbali na kutaja idadi ya wanakaya, karani wa sensa atauliza kama una/ ana matatizo ya kukumbuka au kufanya kitu kwa umakini. Swali hili linataka kujua [...]
23.3% kufafanuliwa kesho
Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]
Uganda wavutiwa na Tanzania
Wabunge wa Uganda waliokuja kutembelea miundombinu ya nishati nchini wakiongozwa na Waziri wa Nchi, Maendeleo ya Nishati na Mdibi, Dkt. Peter Lokeris [...]
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu
Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ya barabara ikiwemo kuchimba mchanga kwa sababu vitendo hivyo vi [...]
Usichaji simu hadi asilimia 100
Huenda watumiaji wa simu za mkononi za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple wakaepuka gharama za kununua au kutengeneza betri za simu yao mara [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]

