Tag: habari magazetini

1 34 35 36 37 38 99 360 / 989 POSTS
Magazeti ya leo Oktoba 28,2022

Magazeti ya leo Oktoba 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Oktoba 28,2022. [...]
Mabehewa ya SGR yamkosha Waziri Majaliwa

Mabehewa ya SGR yamkosha Waziri Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema ameridhishwa na kasi ya utengenezwaji wa mabehewa mapya kwa ajili Reli ya Kisasa (SGR) ya Shirika la Reli Tanzan [...]
Magazeti ya leo Oktoba 26,2022

Magazeti ya leo Oktoba 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Oktoba 26,2022. [...]
Waziri Mkuu aenda Korea Kusini ziara ya siku tatu

Waziri Mkuu aenda Korea Kusini ziara ya siku tatu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameondoka nchini kwenda Seoul, Jamhuri ya Korea kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu. Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu [...]
Magazeti ya leo oktoba 24,2022

Magazeti ya leo oktoba 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Oktoba 24,2022. [...]
Moto Mlima Kilimanjaro

Moto Mlima Kilimanjaro

Moto ambao chanzo chake bado hakijajulikana, umezuka katika mlima Kilimanjaro, karibu na eneo la Karanga Camp lililopo urefu wa meta 3,963 kutoka [...]
Magazeti ya leo Oktoba 22,2022

Magazeti ya leo Oktoba 22,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 22,2022. [...]
Fahamu mapendekezo ya Kikosi Kazi kuhusu Katiba Mpya

Fahamu mapendekezo ya Kikosi Kazi kuhusu Katiba Mpya

Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania kimesema mchakato wa kupata Katiba mpya uendelee kwa ku [...]
Rais Samia: Msiijadili tu serikali

Rais Samia: Msiijadili tu serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa vyama vya siasa kukaa na kujijadili namna vyama hivyo vinavyotenda [...]
China haifungui kituo cha polisi Tanzania

China haifungui kituo cha polisi Tanzania

Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa  nchi ya China ina mpango wa [...]
1 34 35 36 37 38 99 360 / 989 POSTS
error: Content is protected !!