Tag: habari magazetini

1 38 39 40 41 42 99 400 / 989 POSTS
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Magazeti ya leo Septemba 30,2022

Magazeti ya leo Septemba 30,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Septemba 30,2022. [...]
Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000 vitakavyoweza kupokea wanafun [...]
Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa

Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa

Huenda idadi ya Watanzania wanaotumia umeme ya gridi ya Taifa ikaongezeka siku za hivi karibuni baada ya Benki ya Dunia kutoa ufadhili kwa ajili kupel [...]
Masharti 7 ya Samia Scholarship

Masharti 7 ya Samia Scholarship

Serikali imetangaza masharti saba kwa wanafunzi watakaoomba kunufaika na ufadhili (Samia Scholarship), ikiwemo kuhakikisha kuwa kiwango cha ufaulu hak [...]
Magazeti ya leo Septemba 28,2022

Magazeti ya leo Septemba 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Septemba 28,2022. [...]
Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi Habibu Mohammed aliyechezesha pambano la Karim Mandonga na Salim Abeid amesimamishwa na Chama cha Waamuzi wa Ngumi nchini kwasababu ya kucheze [...]
Utaratibu wa kuomba Samia Scholarship

Utaratibu wa kuomba Samia Scholarship

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa maelekezo ya namna kuomba ufadhili wa Samia Scholarship kwa wale waliokidhi vigezo. [...]
Waziri Ummy: Bima ya Afya ni hiari siyo lazima

Waziri Ummy: Bima ya Afya ni hiari siyo lazima

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ikipita itahakikisha wananchi wanapata huduma bila kikwazo lakini hakuna mtu ataka [...]
Japan kutimiza ahadi ya miradi minane Tanzania

Japan kutimiza ahadi ya miradi minane Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida na kuwasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan kutokan [...]
1 38 39 40 41 42 99 400 / 989 POSTS
error: Content is protected !!