Tag: habari magazetini
Mikoa 3 inayoongoza kwa kelele
Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (NEMC) imetaja mikoa mitatu inayoongoza kwa malalamiko ya kelele kuwa ni Dar es Salaam, Mwanza na Dodoma na ku [...]
Shaka akerwa na danadana Mtwara
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amekerwa na danadana zinazoendelea katika kupata utatuzi wa mgo [...]
Ruksa kusafirisha wanyamapori hai nje
Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania imetangaza kuruhusu usafirishaji wa Wanyamapori hai nje ya nchi kwa Wafanyabiashara waliokuwa na Wanyamapori wa [...]
Aina 5 ya vyakula vinavyosaidia kupata mapacha
Watu wengi wanapendelea kupata watoto mapacha, lakini baadhi ya mambo kama umri, historia ya familia na maradhi yanaweza kusababisha ukashindwa kufani [...]
Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa
Jeshi la Polisi mkoa wa Dar es Salaam linamshikilia mfanyabiashara Emmanuel John (38) kwa tuhuma za kutapeli viongozi wa Serikali, wakiwemo Wakuu wa W [...]
Serikali kutumia tiktok
Mbunge wa Viti Maalum, Martha Gwau ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kutumia mitandao ya kijamii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii huku a [...]
Nafasi za kazi Ubalozi wa Tanzania nchini India
Ubalozi wa Tanzania nchini India unatangaza nafasi za kazi kwa madereva.
[...]
Aomba talaka baada ya kunyimwa unyumba
Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Halis Mbwagolo (44) ambaye ni mkazi wa Dodoma, amemfikisha mahakamani mumewe Denis Nyoni (49) akidai talaka b [...]
Tahadhari: Wimbi la 5 Virusi vya Corona
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka Watanzania wajikinge na ugonjwa wa Covid-19 kwa kuwa kuna dalili za kuingia kwa wimbi la tano la virusi vya cor [...]
Shisha kufanyiwa uchunguzi
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa miezi miwili kufanyika tathmini ya madhara ya shisha kabla ya Serikali kuchukua uamuzi ya kuipiga marufuku na ku [...]

