Tag: habari za burudani
Magazeti ya leo Desemba 23,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Desemba 23,2022.
[...]
Bwawa la Nyerere kujazwa maji leo
Rais Samia Suluhu Hassan leo atazindua ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) uliopo Rufiji mk [...]
Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva
Kipande cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34.
Reli hiyo ambayo mkataba [...]
Magazeti ya leo Desemba 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Desemba 21,2022.
[...]
Magazeti ya leo Desemba 20,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Desemba 20,2022.
[...]
Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguaji wa lango la handaki mchepuko litakaloruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa [...]
Serikali kuboresha maslahi ya wanahabari 2023
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mwaka 2023 Serikali itaweka nguvu kubwa katika kuboresha maslahi ya waandis [...]
Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania
Huenda tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama vijijini likapungua nchini Tanzania baada ya Benki ya Dunia kuidhinisha mkopo wa zaidi ya Dola za [...]
Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyi [...]
Fahamu upara unaovutia zaidi duniani
Mashabiki wa Mwanamfalme William wa Uingereza waliokuwa wanaovutiwa na kipara chake, wafahamu kuwa wanatakiwa kuamisha mapenzi ya kwa nguri wa filamu, [...]

