Tag: habari za burudani
Fahamu taratibu za uuzaji wa bidhaa za uvuvi China
China ni miongoni mwa masoko makubwa ulimwenguni yanayonunua bidhaa za uvuvi. Mkataba uliosainiwa wakati wa Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nch [...]
Wafariki wakidaka kumbikumbi
Watu wawili akiwamo mjamzito, wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika Kata ya Mhembe wilayani Kigoma baada ya kugongwa na pikipiki wakati [...]
Rais Samia ataja kanuni za kuwa kiongozi bora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ushauri kwa viongozi wa wanawake Afrika akitaja sifa ni kuwa msikivu, mw [...]
Sababu za Rais Samia kutunukiwa Shahada ya Udaktari
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na mabadiliko makubw [...]
Magazeti ya leo Desemba 1,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Desemba 1,2022.
[...]
Dkt. Rais Samia: Dunia yote inawasubiri
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amewapongeza wahitihu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam waliohitimu leo Novemba 30, 20 [...]
Apple kuifungia Twitter
Elon Musk ameishutumu Apple Inc (AAPL.O) kwa kutishia kuifungia Twitter Inc katika duka lake la programu bila kusema sababu za hatua hizo wakati wa mf [...]
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa
Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 7 kwa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa maji kat [...]
Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitaamua kama kiendelee mazungumzo na CCM au la ifikapo mwezi ujao kwa kile wanachodai kuwa mambo [...]

