Tag: habari za burudani

1 43 44 45 46 47 154 450 / 1532 POSTS
Ubalozi wa Marekani kutoa tiketi za bure kuangalia uzinduzi wa Black Panther II

Ubalozi wa Marekani kutoa tiketi za bure kuangalia uzinduzi wa Black Panther II

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa taarifa kwamba utatoa tiketi za bure kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya "Black Panther" utakaofanyika Century [...]
Tanzania, DRC kuinua uchumi kwa pamoja

Tanzania, DRC kuinua uchumi kwa pamoja

Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimekubaliana kushirikiana kujenga miundombinu ya reli ya kisasa na barabara ili kuimarisha biashar [...]
Waziri Mkuu aenda Korea Kusini ziara ya siku tatu

Waziri Mkuu aenda Korea Kusini ziara ya siku tatu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameondoka nchini kwenda Seoul, Jamhuri ya Korea kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu. Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu [...]
Magazeti ya leo Oktoba 22,2022

Magazeti ya leo Oktoba 22,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 22,2022. [...]
Magazeti ya leo Oktoba 21,2022

Magazeti ya leo Oktoba 21,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Oktoba 21,2022. [...]
Rais Samia ahimiza sheria zitafsiriwe kwa Kiswahili

Rais Samia ahimiza sheria zitafsiriwe kwa Kiswahili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inahitaji sheria madhubuti kuhakikisha kuwa wanawake wanashiriki k [...]
Uzembe wa TICTS, hasara kwa taifa

Uzembe wa TICTS, hasara kwa taifa

Kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) imesababishia taifa hasara kubwa baada ya kudondosha mako [...]
China haifungui kituo cha polisi Tanzania

China haifungui kituo cha polisi Tanzania

Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa  nchi ya China ina mpango wa [...]
Magazeti ya leo Oktoba 20,2022

Magazeti ya leo Oktoba 20,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 20,2022. [...]
Wapata majisafi baada ya miaka 50

Wapata majisafi baada ya miaka 50

Wananchi wa kijiji cha Namatumu Kata ya Malika Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, wamesema Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA [...]
1 43 44 45 46 47 154 450 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!