Tag: habari za burudani

1 59 60 61 62 63 154 610 / 1532 POSTS
Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Mtendaji wa Kijiji cha Mpwayungu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Selemani Kibakaya ,amesema wazazi wawili waliowaoza binti zao wenye umri wa miaka 1 [...]
Madhara ya kutumia kondomu

Madhara ya kutumia kondomu

Watu wengi wanatumia kondomu kama kinga ya kujilinda dhidi ya magonjwa ya zinaa na wengine kuepuka kupata mimba lakini ukweli ni kwamba kondomu zina m [...]
Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Batilda Buriani ametoa taarifa ya kifo cha mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa [...]
Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Walemavu wa viungo mkoani Mtwara, wameishukuru serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuweka utaratibu mzuri ambao umewawezesha kushiriki kik [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani wa Sensa Kata ya Majimoto, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Kenan Kasekwa, amevamiwa usiku wa kuamkia leo na kuporwa kishikwamb [...]
Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyessha kijana mmoja aliyefungwa pingu na kupigwa virungu [...]
Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linatarajia kumfikisha mahakamani kesho mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bun [...]
Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Jamii ya Wahadzabe iliyopo katika eneo la Yaeda Chini jana wamekabidhiwa kitoweo cha nyama pori aina ya Nyumbu na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro N [...]
Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za kibingwa za Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), zitaanza kutolewa katika hospitali mpya ya kisasa ya Rufaa Kanda Mtwara, ikiwa ni ute [...]
1 59 60 61 62 63 154 610 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!