Tag: habari za burudani

1 71 72 73 74 75 154 730 / 1532 POSTS
Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Baada ya Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kutoa taarifa kuhusu ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis), wizara hiyo imetoa tahadhari kwa wananchi na nji [...]
Magazeti ya leo Julai 19,2022

Magazeti ya leo Julai 19,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 19,2022. [...]
Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetanga uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu [...]
Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Mradi wa umeme Rusumo wafika asilimia 95

Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kum [...]
Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waizri wa Nishati, January Makamba amesema wizara hiyo imegawa bure mitungi ya gesi kwa kaya masikini na mamalishe katika mikoa mbalimbali nchini, ili [...]
Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Wafanyakazi wanaokaa kwenye viti muda mrefu ofisini, wapo hatarini kuvimba miguu kutokana na kubana mishipa ya damu. Wanashauriwa kujenga tabia ya [...]
Majaliwa akagua daraja la mawe

Majaliwa akagua daraja la mawe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Julai 17, 2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Daraja la mawe katika barabara ya Iguguno-Kikhonda-Kinampundu [...]
Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikiria Said Furaha (31) kwa tuhuma za kukutwa na jezi feki za timu za Simba na Yanga dazani 296. Kamanda wa Poli [...]
Waziri Ummy: Sio Ebola, Maburg wala Uviko-19

Waziri Ummy: Sio Ebola, Maburg wala Uviko-19

Wakati timu ya wataalamu kutoka nje ikitarajiwa kuanza uchunguzi kubaini ugonjwa usiojulikana Lindi, Wizara ya Afya imesema sampuli za vipimo vya maab [...]
Mama amuua binti yake

Mama amuua binti yake

Mama na mwanaye wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kumuua binti wa kumzaa wa mama huyo. Was [...]
1 71 72 73 74 75 154 730 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!