Tag: habari za burudani

1 85 86 87 88 89 154 870 / 1532 POSTS
Mwendokasi kwa watakaokwenda SabaSaba

Mwendokasi kwa watakaokwenda SabaSaba

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeingia mkataba wa ushirikiano na Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) utakaowawezesha wananc [...]
Rais Samia na juhudi za kuondoa tatizo la maji nchini

Rais Samia na juhudi za kuondoa tatizo la maji nchini

Na Yohana Mangala, Dar es Salaam Methali moja ya kiswahili inasema ‘Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe’ ndivyo tunavyoweza kusema kwenye utendaj [...]
Magazeti ya leo Juni 7,2022

Magazeti ya leo Juni 7,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 7,2022. [...]
Sababu 5 za chunusi matakoni

Sababu 5 za chunusi matakoni

Kuna makosa kadhaa ambayo unaweza kuwa unafanya unaposhiriki katika mambo fulani ya kufurahisha au kuvaa aina fulani za nguo ambazo zinaweza kutoa chu [...]
Kiswahili ni silaha

Kiswahili ni silaha

Lugha ya Kiswahili ni silaha ya taifa letu, imekuwa ya kwanza kutoka Bara la Afrika kutambuliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Ut [...]
500,000 ikifichua wezi miundombinu ya umeme

500,000 ikifichua wezi miundombinu ya umeme

Shirika la Umeme Nchini  (TANESCO), limetangaza zawadi ya sh. 500,000 kwa mwananchi atakayefichua wezi wa miundimbinu ya umeme. Shirika hilo limese [...]
Meneja mpya wa Konde Gang

Meneja mpya wa Konde Gang

Mmoja wa viongozi wa lebo ya Konde Gang, Chopa kupitia ukurasa wake wa Instagram amemtambulisha muigizaji Kajala Masanja kama meneja wa lebo hiyo inay [...]
Shaka akerwa na danadana Mtwara

Shaka akerwa na danadana Mtwara

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amekerwa na danadana zinazoendelea katika kupata utatuzi wa mgo [...]
Marufuku kusafirisha wanyamapori

Marufuku kusafirisha wanyamapori

Waziri wa Maliasi na Utalii Pindi Chana ameagiza kusitishwa mara moja kwa usafirishaji wa wanyamapori nje ya nchi kama ambavyo ilitangazwa juzi na Kam [...]
Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Jeshi la Polisi mkoa wa Dar es Salaam linamshikilia mfanyabiashara Emmanuel John (38) kwa tuhuma za kutapeli viongozi wa Serikali, wakiwemo Wakuu wa W [...]
1 85 86 87 88 89 154 870 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!