Tag: habari za burudani

1 7 8 9 10 11 154 90 / 1532 POSTS
Rais Samia aagiza mkakati wa nishati safi kutafsiriwa kwa lugha mbili

Rais Samia aagiza mkakati wa nishati safi kutafsiriwa kwa lugha mbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan ameiagiza wizara ya nishati kuhakikisha Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi [...]
Uboreshaji wa miundombinu ya bandari wakuza mapato

Uboreshaji wa miundombinu ya bandari wakuza mapato

Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho amesema maboresho yalifanywa na Serikali katika bandari za Tanzania yamechangia kwa kiasi kubwa [...]
Tanzania kinara kwa uhuru wa vyombo vya habari Afrika Mashariki

Tanzania kinara kwa uhuru wa vyombo vya habari Afrika Mashariki

Tanzania imekuwa nchi bora yenye uhuru wa vyombo vya habari katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya maboresho yaliyofanywa na Serikali y [...]
Rais Samia: tudumishe muungani wetu

Rais Samia: tudumishe muungani wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehutubutia taifa kuhusu miaka 60 ya Muungano huku akisisitiza katika kudumish [...]
Rais Samia: tuwaenzi waasisi wetu kwa vitendo

Rais Samia: tuwaenzi waasisi wetu kwa vitendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa watanzania wote kuenzi kwa vitendo muungano ulioanzishwa na waa [...]
Rais Samia awakaribisha Waturuki kuwekeza nchini

Rais Samia awakaribisha Waturuki kuwekeza nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji wa Uturuki kuwekeza nchini Tanzani [...]
Rais Samia: Nawatakia kheri ya Sikukuu ya Eid al- Fitr

Rais Samia: Nawatakia kheri ya Sikukuu ya Eid al- Fitr

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania wote kuendelee kudumisha haki, umoja ,amani na mshikamano kwenye Sikukuu ya Eid al -Fitr. Kupitia kuras [...]
17 waokolewa meli iliyozama DRC

17 waokolewa meli iliyozama DRC

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesema watu 17 wameokolewa katika tukio la kuzama Meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, iliyo [...]
Treni ya mchongoko yawasili

Treni ya mchongoko yawasili

Serikali imepokea seti ya kwanza ya treni ya umeme ya ‘Electric multiple unit’ (EMU) yenye vichwa vitano mchomoko na mabehewa matatu, Waziri wa Uchuku [...]
Rais Samia asamehe faini za bili za maji

Rais Samia asamehe faini za bili za maji

Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassani ameelekeza Wizara ya Maji kupitia Mamlaka za Maji kutoa hamasa kwa Wateja wake kwa kusamehe madeni yao na k [...]
1 7 8 9 10 11 154 90 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!