Tag: habari za kimataifa
Fahamu zawadi 5 zitakazofanya mtu akukumbuke
Zawadi ni kitu anachopewa mtu bila matarajio ya malipo kama sehemu ya kumpongeza, kumuunga mkono au kuthamini uhusiano wenu au kitu alichofanya, watu [...]
Mjue mchawi wako sehemu yako ya kazi
Unakumbuka wiki ya kwanza ulipoianza kazi unayoifanya? Unakumbuka ulipoipata kazi hiyo uliwaambia watu wangapi na namna ulivyokuwa na furaha? Ilikuwa [...]
Mfahamu msanii wa kwanza kutengeneza ‘album’ na kupiga show nje ya Tanzania
Mama wa Muziki, Mama wa Muziki wa Taarab. Siti ni mtu wa kwanza kuimba muziki wa taarabu jukwaani kwa lugha ya kiswahili. Taarab ulikuwa muziki wa tab [...]
Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja
Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba us [...]
Jay Z rasmi Instagram
Msanii wa Hip Hop wa kwanza kuwa bilionea, mfanyabiashara Shawn Corey Carter maarufu kama Jay Z amejiunga rasmi kwenye mtandao wa Instagram na kufanik [...]
Tanzania, Uingereza kuboresha uhusiano wa kibiashara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira na msimamo wa Tanzania katika kuboresha uhusiano wa kibiashara na Uingere [...]
Machinga Dar es Salaam wakumbushwa bado siku 1 tu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kuwa ifikapo siku ya kesho ndio mwisho kwa wanaofanya biashara kwenye maeneo yaliyokatazwa kut [...]
Uingereza yakubali vyeti vya chanjo ya UVIKO-19 kutoka Tanzania
Octoba 7, 2021 Serikali ya Uingereza kupita Ubalozi wake nchini Tanzania ulitoa tamko la kupunguza vikwazo vya kuingia Uingereza kwa watanzania na wai [...]
Mtoto auzwa kwa milioni 1 kukabili njaa
Taifa la Afghanistan linapitia kipindi kigumu tangu wanamgambo wa Kiislamu wa Taliban kufanya mapinduzi ya Kijeshi Agosti mwaka huu. Nchi za Magharibi [...]
Ijue maana ya nyota yako leo Oktoba 25, 2021
NDOO(Jan 21- Feb 19):ni kipindi cha kutoa maamuzi kwani mambo mengi uliyopanga yatakwamuka, hutarudi nyuma na furaha itatawala kwa maamuzi yako. Tumia [...]

