Tag: habari za kimataifa

1 161 162 163 164 165 171 1630 / 1706 POSTS
Fahamu zawadi 5 zitakazofanya mtu akukumbuke

Fahamu zawadi 5 zitakazofanya mtu akukumbuke

Zawadi ni kitu anachopewa mtu bila matarajio ya malipo kama sehemu ya kumpongeza, kumuunga mkono au kuthamini uhusiano wenu au kitu alichofanya, watu [...]
Mjue mchawi wako sehemu yako ya kazi

Mjue mchawi wako sehemu yako ya kazi

Unakumbuka wiki ya kwanza ulipoianza kazi unayoifanya? Unakumbuka ulipoipata kazi hiyo uliwaambia watu wangapi na namna ulivyokuwa na furaha? Ilikuwa [...]
Mfahamu msanii wa kwanza kutengeneza ‘album’ na kupiga show nje ya Tanzania

Mfahamu msanii wa kwanza kutengeneza ‘album’ na kupiga show nje ya Tanzania

Mama wa Muziki, Mama wa Muziki wa Taarab. Siti ni mtu wa kwanza kuimba muziki wa taarabu jukwaani kwa lugha ya kiswahili. Taarab ulikuwa muziki wa tab [...]
Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba us [...]
Jay Z rasmi Instagram

Jay Z rasmi Instagram

Msanii wa Hip Hop wa kwanza kuwa bilionea, mfanyabiashara Shawn Corey Carter maarufu kama Jay Z amejiunga rasmi kwenye mtandao wa Instagram na kufanik [...]
Tanzania, Uingereza kuboresha uhusiano wa kibiashara

Tanzania, Uingereza kuboresha uhusiano wa kibiashara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira na msimamo wa Tanzania katika kuboresha uhusiano wa kibiashara na Uingere [...]
Machinga Dar es Salaam wakumbushwa bado siku 1 tu

Machinga Dar es Salaam wakumbushwa bado siku 1 tu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kuwa ifikapo siku ya kesho ndio mwisho kwa wanaofanya biashara kwenye maeneo yaliyokatazwa kut [...]
Uingereza yakubali vyeti vya chanjo ya UVIKO-19 kutoka Tanzania

Uingereza yakubali vyeti vya chanjo ya UVIKO-19 kutoka Tanzania

Octoba 7, 2021 Serikali ya Uingereza kupita Ubalozi wake nchini Tanzania ulitoa tamko la kupunguza vikwazo vya kuingia Uingereza kwa watanzania na wai [...]
Mtoto auzwa kwa milioni 1 kukabili njaa

Mtoto auzwa kwa milioni 1 kukabili njaa

Taifa la Afghanistan linapitia kipindi kigumu tangu wanamgambo wa Kiislamu wa Taliban kufanya mapinduzi ya Kijeshi Agosti mwaka huu. Nchi za Magharibi [...]
Ijue maana ya nyota yako leo Oktoba 25, 2021

Ijue maana ya nyota yako leo Oktoba 25, 2021

NDOO(Jan 21- Feb 19):ni kipindi cha kutoa maamuzi kwani mambo mengi uliyopanga yatakwamuka, hutarudi nyuma na furaha itatawala kwa maamuzi yako. Tumia [...]
1 161 162 163 164 165 171 1630 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!