Tag: habari za kimataifa

1 15 16 17 18 19 164 170 / 1636 POSTS
Rais Samia Suluhu ayataka mashirika ya umma kujitegemea na kuongeza kipato

Rais Samia Suluhu ayataka mashirika ya umma kujitegemea na kuongeza kipato

Rais Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika ya umma kujitegemea ili kuongeza kipato kitakachopunguza mzigo wa utegemezi kwa Serikali na kukuza uchumi [...]
Maswali Sita kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

Maswali Sita kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

Na Shemasi George Rugambwa Seminari ya Ntungamo, Bukoba Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Ta [...]
Elimu ya msingi mwisho darasa la sita

Elimu ya msingi mwisho darasa la sita

Taasisi ya Elimu Tanzania imetoa mtaala wa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi la sita 2023. Muundo wa mtaala huo umebadilika na sasa eli [...]
Nape: Hakuna aliyekamatwa kwa kukosoa mkataba wa bandari

Nape: Hakuna aliyekamatwa kwa kukosoa mkataba wa bandari

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Balozi Mstaafu Dkt. Willibrod Slaa, Mpa [...]
Ufahamu uhaini, moja ya tishio kubwa zaidi la amani kwa nchi yoyote duniani

Ufahamu uhaini, moja ya tishio kubwa zaidi la amani kwa nchi yoyote duniani

Agosti 10 mwaka huu Wakili Boniface Anyisile Mwabukusi alisimama nje ya Mahakama Jijini Mbeya na kusema kwamba anapinga uamuzi wa mahakama kutupilia m [...]
Tumieni maziwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji

Tumieni maziwa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji

Rais Samia Suluhu Hassan ameziagiza wizara zinazohusika na kilimo na uvivu kufanya mchakato wa kuvuta maji kutoka kwenye maziwa yaliyopo nchini ili ya [...]
Serikali yatoa msamaha wa kodi matrekta kutoka nje

Serikali yatoa msamaha wa kodi matrekta kutoka nje

Sekta ya kilimo nchini imepata misamaha ya kodi katika eneo la kuagiza matrekta nje ya nchi lengo likiwa ni kusaidia kilimo nchini. Ofisa kutoka Ma [...]
Mradi wa Kawe Beach mbioni kuanza baada ya kusitishwa kwa miaka 7

Mradi wa Kawe Beach mbioni kuanza baada ya kusitishwa kwa miaka 7

Mradi mkubwa wa mali isiyohamishika maarufu kama Seven-Eleven (711) ulioko katika eneo la Mbezi Beach/Kawe roundabout jijini Dar es Salaam unatarajiwa [...]
IMF yaipongeza Tanzania kwa utulivu wa kiuchumi

IMF yaipongeza Tanzania kwa utulivu wa kiuchumi

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Bo Li, ameipongeza Tanzania kuwa na utulivu wa kiuchumi wakati ambao kimataifa mazingira [...]
Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamekemea tabia ya baadhi ya wanasiasa wenzao wanaotumia vibaya nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara ya vyama vya [...]
1 15 16 17 18 19 164 170 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!