Tag: habari za kimataifa
Magazeti ya leo Novemba 23,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Novemba 23,2022.
[...]
Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Tsh. Milioni 70 kwa Doris Mollel Foundation, ambapo Tsh. Milioni 20 ameitoa kuw [...]
Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022
Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na mchango wake katika ku [...]
Magazeti ya leo Novemba 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Novemba 21,2022.
[...]
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Magazeti ya leo Novemba 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Novemba 18,2022.
[...]
Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba
Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba.
Kupitia ukurasa wake wa Insta [...]
Dar yaongoza kuwa na wagonjwa wa mabusha na matende
Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDPC) mwaka jana mkoani Dar es Sal [...]
Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya kilo 34.89
Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Mohamed (40) wa wenzake tisa wamekamatwa na kilo 34.89 za dawa za kulevya aina ya Heroin kwa mujibu w [...]
Amuua kikatili na kisha kumla nyama
Mkazi wa Kitongoji cha Chang’ombe, Kijiji cha Kaloleni wilayani Songwe, Berta Shugha (69) ameuawa kikatili na mwili wake kukatwa vipande vipande huku [...]