Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

HomeKitaifa

Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mbunge Lugangira amesema ndege waliyopanda ilishindwa kutua uwanja wa Bukoba hivyo kumlazimu rubani kurudi Mwanza.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Neema Lugangira (@neemalugangira)

error: Content is protected !!