Tag: habari za kimataifa

1 53 54 55 56 57 164 550 / 1639 POSTS
Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Inafahamika kwamba huwezi kufanikiwa na kusonga mbele ukiwa peke yako, lazima ushirikiane na watu ili uweze kupata ujuzi zaidi na maarifa yatakayokusa [...]
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
Magazeti ya leo Oktoba 5,2022

Magazeti ya leo Oktoba 5,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Oktoba 5,2022. [...]
Bei ya mafuta yashuka

Bei ya mafuta yashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutum [...]
Vibanda umiza kusajiliwa na serikali

Vibanda umiza kusajiliwa na serikali

Bodi ya Filamu Tanzania imeanza uhakiki wa vibanda umiza vilivyopo mtaani lengo ni kuvisajili na kuweka utaratibu wa undeshaji. Pia wameunda Kamati [...]
Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Mbunge wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake ya kupambania tiketi za kuwa [...]
TCU yaongeza muda wa udahili vyuoni

TCU yaongeza muda wa udahili vyuoni

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha awamu ya nne na ya mwisho ya udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu litakalokuwa wazi kwa muda wa si [...]
Magazeti ya leo Oktoba 4,2022

Magazeti ya leo Oktoba 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Oktoba 4,2022. [...]
Kampuni 34 kutoka Misri zafuata fursa Tanzania

Kampuni 34 kutoka Misri zafuata fursa Tanzania

Jumla ya kampuni  34 kutoka Misri zimeshiriki Mkutano wa Kibiashara jijini Dar es Salaam kwa lengo la kutafuta fursa za uwekezaji na biashara zilizopo [...]
1 53 54 55 56 57 164 550 / 1639 POSTS
error: Content is protected !!