Tag: habari za kimataifa

1 57 58 59 60 61 171 590 / 1707 POSTS
Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara

Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara

Ofisa Muuguzi (II) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila, Dar es Salaam, Sarwat Soluwo amedaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kilichodaiwa mateso ali [...]
Rais Samia : Punguzeni kidogo spidi

Rais Samia : Punguzeni kidogo spidi

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi Runzewe Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kupunguza kasi ya kuzaa ili huduma za kijamii na fursa za maendeleo [...]
Rais Samia: Tunakwenda kuandika historia Kigoma

Rais Samia: Tunakwenda kuandika historia Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Kigoma leo unaandika historia kwa kuzimwa kwa majenereta yaliyokuwa yakizalisha umeme na sasa unaunganishwa k [...]
Magazeti ya leo Oktoba 17,2022

Magazeti ya leo Oktoba 17,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Oktoba 17,2022. [...]
GEITA: Vijiji 353 vina umeme, 133 mbioni kufikiwa

GEITA: Vijiji 353 vina umeme, 133 mbioni kufikiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua kituo cha kupokea, kupooza umeme cha Mpomvu kilichopo Mkoa wa Geita. Aki [...]
Jeshi la Polisi laanza kuichunguza Kalynda

Jeshi la Polisi laanza kuichunguza Kalynda

Jeshi la Polisi limeanza kuchunguza tuhuma za utapeli kwa njia ya mtandao dhidi ya kampuni ya Kalynda e-Commerce. Msemaji wa Jeshi la Polisi SACP D [...]
Rais Samia ataka viongozi wasimamie fedha za miradi ya maendeleo

Rais Samia ataka viongozi wasimamie fedha za miradi ya maendeleo

Rais Samia amewataka viongozi na watendaji wahakikishe wanasimamia matumizi sahihi ya fedha zinazoelekezwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. [...]
Magazeti ya leo Oktoba 15,2022

Magazeti ya leo Oktoba 15,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 15,2022. [...]
Rais Samia anavyomuenzi Mwalimu Nyerere

Rais Samia anavyomuenzi Mwalimu Nyerere

Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kumuenzi baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Serikali itaendeleza mapambano dhidi ya ujinga, maradhi [...]
Jeshi la Polisi kinara vitendo vya Rushwa

Jeshi la Polisi kinara vitendo vya Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini huku Jeshi la Polisi likishika nafasi y [...]
1 57 58 59 60 61 171 590 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!