Tag: habari za kimataifa
Magazeti ya leo Julai 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Julai 28,2022.
[...]
Yanga yasaini mkataba wa bil.12 na Sportpesa
KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam, leo imesaini mkataba mpya wa udhamini na Kampuni ya Sportpesa, wenye thamani ya Sh Bil. 12.335 kwa kipindi cha miaka [...]
Marufuku kuhubiri ndani ya mabasi
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafi Ardhini (LATRA), Habibu Suluo amesema kwa mujibu wa kanuni ni marufuku kwa Wafanyabiashara na wanaohub [...]
Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka mara moja wale wote waliosambaza picha za miili ya watoto wa shule ya msingi King Dav [...]
Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu kufuatia ajali iliyotokea Mtwara na kusababisha vifo vya watu 10 wakiwemo [...]
Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara
Watu 10 wamefariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali Mikindani Mtwara baa [...]
67.2% ya wakazi wa Dar wana uzito uliopitiliza
Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kwamba asilimia 67.2 ya wakazi wa Dar es Salaam wana uzito kupita kiasi huku wengi wao wakiwa ni wanywaji wa pombe [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Utakayoulizwa na karani wa sensa
Mbali na kutaja idadi ya wanakaya, karani wa sensa atauliza kama una/ ana matatizo ya kukumbuka au kufanya kitu kwa umakini. Swali hili linataka kujua [...]
23.3% kufafanuliwa kesho
Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]