Tag: juma jux

1 23 24 25 26 27 57 250 / 564 POSTS
Amuua mkewe kisa elfu kumi

Amuua mkewe kisa elfu kumi

Jeshi la polisi mkoani Manyara linamshikilia Petro Basso (38) mkazi wa Gabadaw wilayani Babati mkoani Manyara kwa kosa la kumpiga mkewe Maria Sakware [...]
Magazeti ya leo Julai 26,2022

Magazeti ya leo Julai 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 26,2022. [...]
23.3% kufafanuliwa kesho

23.3% kufafanuliwa kesho

Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
IGP Wambura aanza kazi

IGP Wambura aanza kazi

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye viten [...]
Manara afungiwa miaka 2

Manara afungiwa miaka 2

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania leo Julai 21, 2022 imemfungia Msemaji wa Yanga Sc, Haji S. Manara kujihusisha na Soka ndani [...]
Mradi mkubwa wa maji kujengwa Mwanza

Mradi mkubwa wa maji kujengwa Mwanza

Huenda wakazi wanaoishi kusini mwa jiji la Mwanza wakaondokana na shida ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya Serikali kuweka mikakati ya kub [...]
Wasifu wa Kingai

Wasifu wa Kingai

Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa DCI na Rais Samia Suluhu Hassan, Jumanne usiku, Julai 19,2022 akichukua nafasi ya Camilius Wamabura ambaye ameteuliwa [...]
Kuandika wosia sio uchuro

Kuandika wosia sio uchuro

Wizara ya Katiba na Sheria imeiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisia na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ya nini kinachosababisha wananchi kuw [...]
Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waziri Makamba aeleza sababu ya kugawa mitungi ya gesi

Waizri wa Nishati, January Makamba amesema wizara hiyo imegawa bure mitungi ya gesi kwa kaya masikini na mamalishe katika mikoa mbalimbali nchini, ili [...]
1 23 24 25 26 27 57 250 / 564 POSTS
error: Content is protected !!