Tag: juma jux
Falme za Kiarabu na Tanzania kuanza usambazaji wa mbolea kimkakati
Huenda uhaba wa mbolea unaowakumba wakulima wa Tanzania utapungua siku za hivi karibuni baada ya wawekezaji kuonyesha nia ya kuimarisha mfumo wa usamb [...]
Ndoto ya 1975 yatimizwa na Rais Samia
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametimiza ndoto ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere ya kujenga upya [...]
Ndege kubwa ya mizigo ATCL kuwasili nchini
Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) limesema inatarajia kupokea Ndege nne kwa mwaka huu ambapo ndege kubwa ya mizigo itawasili nchini mwishoni mwa mwezi M [...]
Fahamu vitabu vilivyopigwa marufuku kutumika shuleni
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada kutumika katika shule za umma na binafsi [...]
Rais afanya uteuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
(1) Amemteua Bi Janet Zebedayo Mbene kuwa Mwenyeki [...]
Lissu: Serikali ibane matumizi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo , (Chadema) amesema sababu ya kupanda kwa gharama za maisha nchi ni kodi ambazo serikali imeziw [...]
Zumaridi ahukumiwa mwaka mmoja jela
Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza imemhukumu Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kumkuta na hatia kati [...]
Hatua zilizochukuliwa dhidi ya wauguzi wa Ishihimilwa
Baada ya uchunguzi kufanywa kuhusu tukio la video fupi iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari ikiwahusisha watumishi wawili, Bi. [...]
Mashabiki wa Arsenal wakamatwa
Polisi nchini Uganda imewakamata mashabiki 20 wanaoshangilia timu ya Arsenal baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Manchester United katika mchezo ul [...]
Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar
Mamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’ vinavyodaiwa kutumiwa na baadhi ya wanaw [...]