Tag: juma jux
Magazeti ya leo Januari 21,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Januari 21,2023.
[...]
Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania
Miradi mipya 630 ya uwekezaji inayotekelezwa na kampuni za India yenye thamani za dola 3.68 bilioni imesajiliwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kupiti [...]
Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo
Jamii ya Wahadzabe na Wadatoga wanaoishi wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha, wametishia kuyahama makazi yao kwa kuwa halmashauri ya wilaya hiyo ime [...]
Magazeti ya leo Januari 18, 2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Januari 18,2023.
[...]
Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere
Serikali imesema hadi jana asubuhi, mita za maji 111 juu ya usawa wa bahari zilikuwa zimejazwa katika mradi wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme kwa m [...]
Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali
Serikali imechukua usimamizi wa Hospitali ya Dar Group na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuwa Hospitali hiyo sasa itasimamiwa na Taasisi ya Mo [...]
Waliotimiza miaka 18 kupatiwa chanjo ya Uviko-19
Serikali imesema itaanza kuwafikia vijana ambao hawakuwa wamefikisha umri wa kupata chanjo ya Uviko-19 tangu zoezi hilo lianze miaka mitatu iliyopita [...]
CCM Geita yakosoa usambazaji mbolea ya ruzuku
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimeeleza kutoridhishwa na mwenendo wa usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima kutokana na mchakato huo ku [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Januari 9,2023
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Januari 9,2023. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v=NVOuH [...]
TFF: Feisal bado mchezaji wa Yannga
Kamati ya Sheria na hadhi za Wachezaji ya TFF imeamua kuwa Feisal Salum Abdallah ni mchezaji halali wa Young Africans kwa mujibu wa mkataba wake na t [...]