Tag: nafasi za kazi

1 9 10 11 12 13 81 110 / 808 POSTS
Rais Samia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi kesho

Rais Samia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 19 Septemba 2023 anatarajia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa [...]
Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani Mtwara ambapo Ziara [...]
Wananchi wa Newala wampa Rais Samia maua yake

Wananchi wa Newala wampa Rais Samia maua yake

Baadhi ya wafanyabiashara wa Wilaya ya Newala wamepongeza na kumshukuru Mhe: Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kufungua mipaka ya kuingia na kutoka nchi [...]
Rais Samia ateuliwa kuwa mjumbe wa GCA

Rais Samia ateuliwa kuwa mjumbe wa GCA

Rais Samia Suluhu ameteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the G [...]
Yanayoendelea kwenye mikutano ya hadhara si dhamira ya kuruhusiwa kufanyika

Yanayoendelea kwenye mikutano ya hadhara si dhamira ya kuruhusiwa kufanyika

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kukasilishwa na mwenendo wa mikutano ya hadhara miezi kadhaa tangu airuhusu tena tangu ya kuwa imefungiwa baada ya [...]
Serikali inavyokabiliana na changamoto za masoko ya bidhaa za kilimo

Serikali inavyokabiliana na changamoto za masoko ya bidhaa za kilimo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inatekeleza mikakati madhubuti kukabiliana na changamoto ya u [...]
Rais Samia awafuta kazi Mkuu wa Wilaya wa Mtwara na DED wake

Rais Samia awafuta kazi Mkuu wa Wilaya wa Mtwara na DED wake

Rais Samia Suluhu Hassan amewafuta kazi Mkuu wa Wilaya wa Mtwara Vijijini, Hanafi Msabaha na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Tatu Issike kwa alichokie [...]
Serikali yatoa msamaha wa kodi matrekta kutoka nje

Serikali yatoa msamaha wa kodi matrekta kutoka nje

Sekta ya kilimo nchini imepata misamaha ya kodi katika eneo la kuagiza matrekta nje ya nchi lengo likiwa ni kusaidia kilimo nchini. Ofisa kutoka Ma [...]
IMF yaipongeza Tanzania kwa utulivu wa kiuchumi

IMF yaipongeza Tanzania kwa utulivu wa kiuchumi

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Bo Li, ameipongeza Tanzania kuwa na utulivu wa kiuchumi wakati ambao kimataifa mazingira [...]
Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamekemea tabia ya baadhi ya wanasiasa wenzao wanaotumia vibaya nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara ya vyama vya [...]
1 9 10 11 12 13 81 110 / 808 POSTS
error: Content is protected !!