Tag: nafasi za kazi
Kauli za wachezaji wa Morocco zilivyoibua hisia za Waafrika
Hivi karibuni kumeibuka mjadala miongoni mwao waafrika hasa katika mitandao ya kijamii kufuatia kauli zinazotiliwa shaka kua ni kauli za kibaguzi kwa [...]
Magazeti ya leo Desemba 10,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Desemba 10,2022.
[...]
Rais Samia kuifumua serikali
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wake, amebaini kuwepo kwa baadhi ya watu wasioendana na kasi yake.
Am [...]
Kicheko bei mpya za petroli na dizeli
Dar es Salaam. Huenda itakuwa kicheko na maumivu kwa watumiaji wa nishati ya mafuta baada ya kutolewa kwa bei mpya zinazoonyesha kupanda na kushuka kw [...]
Sababu za Rais Samia kutunukiwa Shahada ya Udaktari
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na mabadiliko makubw [...]
Matokeo zaidi ya 2,000 ya wanafunzi darasa la saba yafutwa, shule 24 zafungiwa
Wakati maelfu ya watahiniwa wa mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2022 wakiwa na furaha baada ya matokeo yao kutangazwa, wenzao 2,194 wapo katika maj [...]
Apple kuifungia Twitter
Elon Musk ameishutumu Apple Inc (AAPL.O) kwa kutishia kuifungia Twitter Inc katika duka lake la programu bila kusema sababu za hatua hizo wakati wa mf [...]
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitaamua kama kiendelee mazungumzo na CCM au la ifikapo mwezi ujao kwa kile wanachodai kuwa mambo [...]
Magazeti ya leo Novemba 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Jumatatu Novemba 28,2022.
[...]

