Tag: nafasi za kazi

1 32 33 34 35 36 81 340 / 804 POSTS
Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii kutoka lebo ya Wasafi ameweka wazi kwamba amemshtaki Ostaz Juma, TCRA baada ya kumdhihaki na kuongea maneno [...]
Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri Makamba azindua kiwanda cha kuzalisha transfoma

Waziri wa Nishati, January Makamba amezindua kiwanda cha kuzalisha transfoma cha kampuni ya Elsewedy Electrica Industrial Complex kilichopo Kigamboni [...]
Bima ya afya kwa wote

Bima ya afya kwa wote

Rais Samia Suluhu amesema mkutano wa Bunge utakaoanza kesho, pamoja na mambo mengine, utapitia na kupitisha Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote [...]
Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri Aweso amsimamisha kazi Meneja wa RUWASA

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemsimamisha Kazi Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijini RUWASA wilaya Karagwe, Mhandisi Magai Kakuru kwa [...]
Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Malkia Elizabeth alikuwa mfalme wa mitindo na darasa kwa watu wengi. Zaidi ya miaka 70 ya utawala wake amekuwa akionekana kwenye mitindo mbalimbali ya [...]
Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuunda kikosi kazi cha ukusanyaji wa maoni, kuhusu [...]
Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

 Wakati dunia leo akiadhimisha siku ya  Kimataifa ya Kusoma na Kuandika, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema [...]
Vituo 10 vya Afya Dar vimejengwa kwa fedha za tozo ya miamala ya simu

Vituo 10 vya Afya Dar vimejengwa kwa fedha za tozo ya miamala ya simu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa kwenye sekta ya Afya hususani Ujenzi wa Vit [...]
Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa

Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Venezuela zimesaini Hati za Makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kisiasa na mkataba wa ushirikiano katika nyanja m [...]
Auawa baada ya kubaka mbuzi

Auawa baada ya kubaka mbuzi

Kijana mmoja kutoka Mtunzini huko KwaZulu-Natal, Afrika Kusini ameuawa kutokana na kichapo cha wananchi wenye hasira kali baada ya kumfuma akibaka mbu [...]
1 32 33 34 35 36 81 340 / 804 POSTS
error: Content is protected !!