Tag: nafasi za kazi

1 46 47 48 49 50 81 480 / 808 POSTS
Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulgea amesema seriklai imejipanga kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mazi [...]
Historia ya Tanzania kuwa somo mashuleni

Historia ya Tanzania kuwa somo mashuleni

Historia ya Tanzania itaanza kufundishwa mwakani kama somo katika shule za msingi na sekondari kama alivyoagiza Rais wa awamu ya tano, Hayati John Mag [...]
Mdee na wenzake watuma barua kwa spika

Mdee na wenzake watuma barua kwa spika

Wabunge 19 wa viti maalumu waliofutiwa uanachama CHADEMA, wamewasilisha tena maombi namba 27/2022 ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuli [...]
Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya BOSS7 iliyobeba viwatilifu aina ya Salfa ya unga tani zaidi ya elfu 5 imewasili katika Bandari ya Mtwara ikitokea Uturuki, ikiwa ni muendelezo [...]
Mwigulu aeleza umuhimu wa madeni nchini

Mwigulu aeleza umuhimu wa madeni nchini

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Nchemba amefafanua umuhimu wa mikopo katika nchi na kusema kila taifa lenye maendeleo lazima liwe na deni na [...]
Mabeyo asema nchi ipo salama na Rais Samia

Mabeyo asema nchi ipo salama na Rais Samia

Baada ya kulitumika jeshi kwa takribani miaka 43, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Venance Mabeyo, amefunguka mambo kadha wa kadha ku [...]
Mwendokasi Mbagala kwa 650

Mwendokasi Mbagala kwa 650

Wakala wa mabasi yaendayo haraka DSM (DART) imetangaza ruti mpya ya mabasi hayo itakayoanzia Uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K Nyerere (Sabasaba) hadi Mba [...]
Mbivu na mbichi za kina Mdee leo

Mbivu na mbichi za kina Mdee leo

Maombi ya wanachama 19 wa zamani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kibali cha kupinga kufukuzwa uanachama, yatajulikana leo Mahakama i [...]
Fahamu aina 5 za miguno

Fahamu aina 5 za miguno

Miguno wakati wa tendo la ndoa inaweza kuwa ya uwongo, ambayo si jambo zuri, lakini inapokuwa ya kweli, huakisi hisia ambazo mwanamke anapitia pamoja [...]
Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Maandalizi ya Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 95, na nchi 20 ikiwemo Marekani zimethibiti [...]
1 46 47 48 49 50 81 480 / 808 POSTS
error: Content is protected !!