Tag: nafasi za kazi
MBOWE: Hatutaki fedha za ruzuku
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake hakitachukua Sh110 milioni za ruzuku ya Serikali kwa sababu kwa kufanya hivyo wata [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 20,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatano Aprili 20,2022. Husikubali kupitwa,
https://www.youtube.com/watc [...]
KENYA: Polisi takribani 2,000 wanamatatizo ya akili
Takriban maafisa 2,000 wa polisi wa Kenya hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao, mkuu wa huduma ya kitaifa ya polisi nchini anasema.
Inspekta Je [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 20, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Aliyemchinja mtoto auawa
Mzee mmoja mkazi wa Siha, Kilimanjaro amepigwa hadi kufa na wananchi wenye hasira kali baada ya kubainika kumchinjwa mtoto wa miaka miwili kijiji cha [...]
Zainab ammwagia mtu uji Zanzibar
Mkazi wa Mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, Adamu Mohammed ameliomba Jeshi la Polisi limkamate mama mzazi wa mkewe, Zainab Ally kwa ma [...]
Aliyekuwa Meya wa Moshi ang’oa misaada yake
Juma Raibu aliyekuwa Meya Mstahiki wa Manispaa ya Moshi ambaye hivi karibuni aling’olewa wadhifa huo ameamua kwenda kung’oa misaada aliyowahi kuitoa k [...]
Filamu ya Royal Tour jijini New York leo
Filamu ya Royal Tour inayozinduliwa leo jijini New York, nchini Marekani ambayo mhusika mkuu ni Rais Samia Suluhu Hassan, inakwenda kuitangaza Tanzani [...]
Rais wa Burundi ajitwika msalaba
Ijumaa Kuu ni siku ya kukumbuka mateso ya Yesu na makanisa mbalimbali kuigiza mateso ya Yesu kama njia ya kufundisha waumini kuhusu alivyojitoa Yesu k [...]
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda
Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]