Tag: nafasi za kazi
Mahakama yaja na teknolojia ya akili bandia
Akizungumzia kuhusu wiki ya siku ya sheria na siku ya Sheria, Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amesema kuwa, ili kuhakikisha mhimili wa Ma [...]
Mrithi wa panya Magawa apatikana
Baada ya kifo cha panya Magawa hatimaye mrithi wake amepatikana anafahamika kwa jina la Renin ambapo taarifa zinasema tayari yupo nchini Cambodia kuen [...]
Mwanafunzi afariki baada ya kujirusha ghorofani
Manawa Horera mwanafunzi wa mwaka wa pili wa kitivo cha Shahada ya Uhasibu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amefariki baada ya kuanguka kut [...]
Mfahamu John Okello aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar
John Gideon Okello ni raia wa Uganda aliyeshiriki katika Mapinduzi yaliyoitoa Zanzibar kutoka kwenye minyororo ya utawala wa Waarabu.
Alizaliwa mw [...]
Mpoto alia na waimba “amapiano” Tanzania
Mshairi nguli kutoka nchini Tanzania Mrisho Mpoto maarufu kwa jina la ‘Mjomba’ amefunguka na kuweka wazi kwamba anasikitishwa na namna baadhi ya wasan [...]
Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya
Watu wanne wamewekwa kizuizini na mahakama ya Nairobi kwa shutuma za kupanga njama za kuuza ardhi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta huko Karen nchini h [...]
Temeke wakamilisha ‘madarasa ya Rais Samia’
Bilioni 3.14 zilizotolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan zimewezesha kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari 157 katika wil [...]
Majaliwa avunja ukimya kuelekea uchaguzi 2025
Waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa hana mpango wa kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2025 kama ambavyo [...]
Magazeti ya leo Desemba 23, 2021
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania Alhamisi Desemba 23, 2021. [...]
Tazama video zinazo-trend Youtube Desemba 20, 2021
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Desemba 20, 2021. Husikubali kupitwa;
https://www.youtube.com/wa [...]