Tag: Tozo

1 13 14 15 16 17 26 150 / 256 POSTS
Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa

Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa

MTOTO wa miaka miwili, Nkeya Thomas ameuawa kwa kukatwa shingo na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kichakani katika Kijiji cha Nyamigogwa, Kat [...]
Viongozi 10 Ngorongoro kutojulikana walipo

Viongozi 10 Ngorongoro kutojulikana walipo

Wakati Serikali ikisema uwekaji mipaka katika pori la Loliondo unaendelea vizuri, Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ameendelea kulalamika kut [...]
Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imesema itawashitaki waliohamasisha wananchi wafanye vurugu Loliondo na wanaopotosha kuhusu h [...]
Samia kutoa bilioni 100 kila mwezi

Samia kutoa bilioni 100 kila mwezi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itatoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kila mwezi kwa ajili ya kukabiliana [...]
Majaliwa awasha moto

Majaliwa awasha moto

Waziri Kuu Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Juni 8, 2022 hadi Juni 12, 2022 Wizara ya Kilimo iwe imeondoa pikipiki zote wizarani hapo na k [...]
Rais Samia na juhudi za kuondoa tatizo la maji nchini

Rais Samia na juhudi za kuondoa tatizo la maji nchini

Na Yohana Mangala, Dar es Salaam Methali moja ya kiswahili inasema ‘Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe’ ndivyo tunavyoweza kusema kwenye utendaj [...]
Kiswahili ni silaha

Kiswahili ni silaha

Lugha ya Kiswahili ni silaha ya taifa letu, imekuwa ya kwanza kutoka Bara la Afrika kutambuliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Ut [...]
Aina 5 ya vyakula vinavyosaidia kupata mapacha

Aina 5 ya vyakula vinavyosaidia kupata mapacha

Watu wengi wanapendelea kupata watoto mapacha, lakini baadhi ya mambo kama umri, historia ya familia na maradhi yanaweza kusababisha ukashindwa kufani [...]
Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Jeshi la Polisi mkoa wa Dar es Salaam linamshikilia mfanyabiashara Emmanuel John (38) kwa tuhuma za kutapeli viongozi wa Serikali, wakiwemo Wakuu wa W [...]
Serikali kutumia tiktok

Serikali kutumia tiktok

Mbunge wa Viti Maalum, Martha Gwau ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kutumia mitandao ya kijamii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii huku a [...]
1 13 14 15 16 17 26 150 / 256 POSTS
error: Content is protected !!